Dudubaya ndani ya kanisa la Mwamposa

Dudubaya ndani ya kanisa la Mwamposa

Ni padre ambaye alimlea enzi hizo dudu a anasomea ubroda kule morogoro
Mkuu,miaka ya 2009 hv kuna brother alkua rafiki yangu sana alkua na jina ilo,alkua anatania sana kwao kisiwani ukerewe.,
Nara nyngi alkua anaenda pia kufundsha mashuleni vipindi vya dini,je anaweza kua ndo huyu mkuu kwa details hizo?
 
Mkuu,miaka ya 2009 hv kuna brother alkua rafiki yangu sana alkua na jina ilo,alkua anatania sana kwao kisiwani ukerewe.,
Nara nyngi alkua anaenda pia kufundsha mashuleni vipindi vya dini,je anaweza kua ndo huyu mkuu kwa details hizo?
Huyo padri ni muitaliano.
 
Alidondoka au mapepo yanachagua

Masupastaa ?
Unalijua pepo wewe? Pichani, jamaa amekataa kuliangalia lipepo lichafu
IMG-20190825-WA0010.jpg
IMG-20190825-WA0009.jpg
 
Bado sijaamini masikio yangu..hivi in kweli huyu jamaa kaamua kuokoka kweli au ndio maigizo ya kutafutiana kiki...kasema amezaliwa na kuwa kiumbe kipya

Kwani haiwezekani yeye kuokoka?
 
Huyu Mwamposa ana nini cha ajabu? Hadi Ruge aliokoka akawa anasali na kuombewa na Mwamposa.
 
Back
Top Bottom