Mama_Aheshimiwe
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 2,746
- 4,165
Mwamposa anatafuta publicity ama? Maana Dudu baya pale hakuna mlokole. Ataacha kabisa Konyagi?
Mkuu,miaka ya 2009 hv kuna brother alkua rafiki yangu sana alkua na jina ilo,alkua anatania sana kwao kisiwani ukerewe.,Ni padre ambaye alimlea enzi hizo dudu a anasomea ubroda kule morogoro
Huyo padri ni muitaliano.Mkuu,miaka ya 2009 hv kuna brother alkua rafiki yangu sana alkua na jina ilo,alkua anatania sana kwao kisiwani ukerewe.,
Nara nyngi alkua anaenda pia kufundsha mashuleni vipindi vya dini,je anaweza kua ndo huyu mkuu kwa details hizo?
Alidondoka au mapepo yanachaguaHuyo Ricardo ni nani hadi aweze kusamehe dhambi?
Unalijua pepo wewe? Pichani, jamaa amekataa kuliangalia lipepo lichafuAlidondoka au mapepo yanachagua
Masupastaa ?
Kizazi cha Mulugo ichohuu ujinga ifike pahala ufe
...pabaAnaweza endelea kula tungi kimya kimya kama mzee wa .....
Dudubaya bangi..Hachelewi kesho kuanza kumsemea mbovu huyo Mwamposa..Mwamposa anatafuta publicity ama? Maana Dudu baya pale hakuna mlokole. Ataacha kabisa Konyagi?
Hhahhaha nmecheka kifala sana 😅😅Unalijua pepo wewe? Pichani, jamaa amekataa kuliangalia lipepo lichafuView attachment 1189860View attachment 1189862
Anaweza endelea kula tungi kimya kimya kama mzee wa .....
Namaanisha akaombe msamaha kwa aliyomtendea.Huyo Ricardo ni nani hadi aweze kusamehe dhambi?
Bado sijaamini masikio yangu..hivi in kweli huyu jamaa kaamua kuokoka kweli au ndio maigizo ya kutafutiana kiki...kasema amezaliwa na kuwa kiumbe kipya
Hata kumpiga hashindwi [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Dudubaya bangi..Hachelewi kesho kuanza kumsemea mbovu huyo Mwamposa..