IKARAHANSI
JF-Expert Member
- Jul 30, 2019
- 398
- 479
Huyu Mwamposa ana nini cha ajabu? Hadi Ruge aliokoka akawa anasali na kuombewa na Mwamposa.
Hupako[emoji1]Anaweza endelea kula tungi kimya kimya kama mzee wa .....
Achana na imani za watu tafuta pesaBado sijaamini masikio yangu..hivi in kweli huyu jamaa kaamua kuokoka kweli au ndio maigizo ya kutafutiana kiki...kasema amezaliwa na kuwa kiumbe kipya
Oooh,owkay.Huyo padri ni muitaliano.
Ni zamu yake sasa hiviHuyu Mwamposa ana nini cha ajabu? Hadi Ruge aliokoka akawa anasali na kuombewa na Mwamposa.
Ubongo ndogo kuelewa hiloHuyo padre amepewa na nani mamlaka ya kumsamehe MTU dhambi? Mbona huyo padre anaingilia kazi ya Yesu?
Hii kauli haupaswi kuongea wewe binti ulieokoka.Huyu Mwamposa ana nini cha ajabu? Hadi Ruge aliokoka akawa anasali na kuombewa na Mwamposa.
Ni zamu yake sasa hivi
Dudu Baya = Dudu Zuri = DUDUKwa hiyo sa hivi anaitwa dudu zuri ?
Hahaha [emoji28][emoji28]