Duh! Africa bado safari ni Ndefu: Safari kutoka Addis hadi Nairobi

Duh! Africa bado safari ni Ndefu: Safari kutoka Addis hadi Nairobi

Hizo maelfu za Kilometa mmejenga kwa papers? barabara zenu zipo Nairobi pekee na Central kule Kwa kabila la Kikuyu,
Wewe sibitaji kujuelezea sana maana umesafiri Tanzania unaelewa.
The Question is Vipi kuhusu Sudan na Somalia? Huko Lamu ni Isolated, Garisa, Kote huko Matope tupu,

Unaziona kwa papers kwa sababu umezoea narratives za kukaririshwa huko kwa MaCCM, tunawazidi kwa paved and unpaved roads by thousands of kilometers, licha ya nchi yenu kuwa na rotuba nzuri na makazi kote kote, sisi kwetu kaeneo kadogo ndiko kana rotuba na makazi, kwengine huko jangwa tupu lakini tunawazidi kielimu, kijeshi, kiuchumi, na kila kitu, mpo ovyoo sana, inafaa muanze kupata aibu kwa kweli, pia mumetujazia omba omba huku hadi kero.
 
More tourists coming to Nairobi in all manners of transport
 
Utakua hujatazama video, unajibu kwa kusoma comments, wacha uvivu itazame, lini umeskia hatujafungua mpaka na Ethiopia, pia humo kwenye video inaonyesha barabara upande wa Ethiopia ni majanga, mwandishi amelalamika tangu alipotoka Addis, ila baada ya kuvuka mpaka akawa anatiririka bila matatizo, sema kulikua na vizuizi vingi vya polisi upande wa Kenya, ambalo ni jambo la kueleweka maana raia wengi wa Ethiopia huitoroka nchi.
Nmeiangalia, ndio mjirekebishe basi
 
Nmeiangalia, ndio mjirekebishe basi

Elekeza wapi pakujirekebisha, usifyatuke tu ilmradi, wapi kuna kasoro maana upande wa Kenya jamaa hajawa na tatizo lolote la barabara.
 
Hizo maelfu za Kilometa mmejenga kwa papers? barabara zenu zipo Nairobi pekee na Central kule Kwa kabila la Kikuyu,
Wewe sibitaji kujuelezea sana maana umesafiri Tanzania unaelewa.
The Question is Vipi kuhusu Sudan na Somalia? Huko Lamu ni Isolated, Garisa, Kote huko Matope tupu,
Rudi shule
 
Mleta uzi jitahidi kabla ya kuleta nyuzi humu uwe unafanya kautafiti kwanza, alafu tabia yenu mkiwa na barabara mbovu au matatizo huko mnahusisha Africa nzima mkome,
Ona sasa ulivofunguliwa akili hapa 😂😂😂
 
Unaziona kwa papers kwa sababu umezoea narratives za kukaririshwa huko kwa MaCCM, tunawazidi kwa paved and unpaved roads by thousands of kilometers, licha ya nchi yenu kuwa na rotuba nzuri na makazi kote kote, sisi kwetu kaeneo kadogo ndiko kana rotuba na makazi, kwengine huko jangwa tupu lakini tunawazidi kielimu, kijeshi, kiuchumi, na kila kitu, mpo ovyoo sana, inafaa muanze kupata aibu kwa kweli, pia mumetujazia omba omba huku hadi kero.

Bado hujanijibu swali mzee mzee, hayo mambo ya Rutuba sijui yameingiaje hapa
Tuoneshe barabara zinazounganisha Somalia na Sudan,
 
Mleta uzi jitahidi kabla ya kuleta nyuzi humu uwe unafanya kautafiti kwanza, alafu tabia yenu mkiwa na barabara mbovu au matatizo huko mnahusisha Africa nzima mkome,
Ona sasa ulivofunguliwa akili hapa 😂😂😂

Ndiyo tatizo la ndugu zetu hawa, kila kitu kisichowezekana au kukosekana Kenya wanadhani ni pia hakiwezekani au hakipo Afrika au East Africa nzima.

Shukrani JamiiForums inatoa nafasi kujifunza ukweli wa mambo na kupata elimu endelevu, bila kudanganya juu ya hali halisi iliyopo ktk nchi au ukanda wa jumuiya mbalimbali za Afrika.

Cheki jamaa yetu wa Kenya akishangaa treni ya TAZARA na ya Rovos zikipishana mkoani Mbeya nyanda za juu kusini mwa Tanzania. Ile ya Rovos ikitokea Cape Town South Africa kuelekea Dar es Salaam, Tanzania na ya TAZARA ikitoka Dar es Salaam kwenda New Kapiri Mposhi, Zambia.

Source: Kenyan backpacker
 
Ndiyo tatizo la ndugu zetu hawa, kila kitu kisichowezekana au kukosekana Kenya wanadhani ni pia hakiwezekani au hakipo Afrika au East Africa nzima.

Shukrani JamiiForums inatoa nafasi kujifunza ukweli wa mambo na kupata elimu endelevu, bila kudanganya juu ya hali halisi iliyopo ktk nchi au ukanda wa jumuiya mbalimbali za Afrika.
Ndio shida yao kubwa hiyo,
Wanasuffering na inferiority complex 😂😂😂
 
Year 2016
Now, imagine this…. Driving for 3,000 kilometers all the way from Lubumbashi City in the Democratic Republic of Congo to Nairobi. Yes Wilbur Mutiva, a Kenyan businessman frequently does that instead
 
Wakenya wenzako wakishangaa Barabara za tz kuelekea tanga, ukizingatia tz inamikoa mingi kuliko Kenya na imepakana na nchi nyingi kuliko Kenya na mikubwa kuliko Kenya ila barabara ni safi mkeka wa kupendeza
Km huu hapa
Screenshot_20191027-230850.jpeg
 
Africa au Kenya?...
Zipo nchi upande wa barabara wanafanya vizur at wamefanya vizur na hawapigi kelele
Wakenya wenzako wakishangaa Barabara za tz kuelekea tanga, ukizingatia tz inamikoa mingi kuliko Kenya na imepakana na nchi nyingi kuliko Kenya na mikubwa kuliko Kenya ila barabara ni safi mkeka wa kupendeza

Kafrican,

Afrika gani unayosema? Labda nchi wanachama wa IGAD .

Lakini nchi za SADC Unaweza kuendesha gari kupitia barabara za lami toka Namanga au Bukoba Tanzania mpaka Cape Town. Pia unaweza kusafiri kwa reli toka Dar es Salaam mpaka Cape Town kwa njia ya reli moja kwa moja siyo tu Afrika ya Kusini bali hata Benguela Angola ktk pwani ya bahari ya Atlantic.
Kenyan transporter, Joel Wachira, has done over 200 trips between Nairobi and Gaborone

Source: CHAMS MEDIA TV
Afrika ya matatizo ya nchi wanachama wa IGAD inayojumuisha nchi za Kenya, Ethiopia, Eritrea, Somalia, the Sudan, South Sudan na Uganda ndiyo kuna matatizo makubwa ya miundombinu / miundomsingi ya barabara na reli.
Road trip to South Africa

Source: Farhana orbeson

Usiseme Africa, Sema Kenya bado sana,
Nashangaa 2019 bado hamjafungua hiyo Boarder, Huo ndio uvivu wenyewe.

Kama ingekua mliangalia Video mngekua mliona kwamba upande wa Kenya, Shida ilikua si barabara....


Hapo kwa video walionyesha wakivuka mpaka na kuingia Kenya, Border Upande wa Keenya inakaa hivi, Hii picha imechukuliwa from Ethiopia side looking at the Kenyan side

iu



Barabara ya kuelekea Ethiopia upande wa Kenya inakaa hivi...... Hii barabara ni 500km hadi kwa border ya Ethiopia

iu



Lapsset secretariat inspecting the road

iu


iu


iu


iu



C9xNS0YXgAAcCeV.jpg


C9xNUHNXoAEQJZL.jpg


C_IwlgVXcAEHxin.jpg


34041007314_603e860b49_b.jpg


DFPNi9QUMAEYjO1.jpg


DFPNjDTUMAEVzmx.jpg


 
Kama ingekua mliangalia Video mngekua mliona kwamba upande wa Kenya, Shida ilikua si barabara....


Hapo kwa video walionyesha wakivuka mpaka na kuingia Kenya, Border Upande wa Keenya inakaa hivi, Hii picha imechukuliwa from Ethiopia side looking at the Kenyan side

iu



Barabara ya kuelekea Ethiopia upande wa Kenya inakaa hivi...... Hii barabara ni 500km hadi kwa border ya Ethiopia

iu



Lapsset secretariat inspecting the road

iu


iu


iu


iu



C9xNS0YXgAAcCeV.jpg


C9xNUHNXoAEQJZL.jpg


C_IwlgVXcAEHxin.jpg


34041007314_603e860b49_b.jpg


DFPNi9QUMAEYjO1.jpg


DFPNjDTUMAEVzmx.jpg




Bando la intaneti nilonalo si la kitoto nimeangalia video mwanzo mpaka mwisho. Tatizo kichwa cha habari kuonesha Africa nzima kuna tatizo ila Kenya, wakati siyo kweli kuna kanda za Afrika kuanzia Tanzania kwenda mpaka Kusini Afrika ya kusini miundo mbinu ya barabara ipo safi kuunganisha nchi zote za SADC zilizopo bara.
 
Bando la intaneti nilonalo si la kitoto nimeangalia video mwanzo mpaka mwisho. Tatizo kichwa cha habari kuonesha Africa nzima kuna tatizo ila Kenya, wakati siyo kweli kuna kanda za Afrika kuanzia Tanzania kwenda mpaka Kusini Afrika ya kusini miundo mbinu ya barabara ipo safi kuunganisha nchi zote za SADC zilizopo bara.
Anza na kumjibu hii posti 👇
 
Kama ingekua mliangalia Video mngekua mliona kwamba upande wa Kenya, Shida ilikua si barabara....


Hapo kwa video walionyesha wakivuka mpaka na kuingia Kenya, Border Upande wa Keenya inakaa hivi, Hii picha imechukuliwa from Ethiopia side looking at the Kenyan side

iu



Barabara ya kuelekea Ethiopia upande wa Kenya inakaa hivi...... Hii barabara ni 500km hadi kwa border ya Ethiopia

iu



Lapsset secretariat inspecting the road

iu


iu


iu


iu



C9xNS0YXgAAcCeV.jpg


C9xNUHNXoAEQJZL.jpg


C_IwlgVXcAEHxin.jpg


34041007314_603e860b49_b.jpg


DFPNi9QUMAEYjO1.jpg


DFPNjDTUMAEVzmx.jpg


Jamaa wanafikiria kenya ilipewa tittle ya middle income kihuni huni..
Hyo border upande wa kenya ipo vizuri, tatizo ni ule upande mwngine..
 
Tanzania Tunapakanana Nchi Nane, yaani Kenya, UG, DRC, RW, BU, Malawi , Zambia na Mozambique,
Na zote hizi tumeziunganisha kwa Barabara Safi,
Yaani Utatoka DSM kwenda, Lusaka, Blantyre au Lilongwe, Utatoka Dar Kwenda Pemba hadi Nampula au Kwenda Kigali hadi Bujumbura Kote huko Lami swafi,
Na kwa upande wa Kenya ndio usiseme, Uamue tu kupitia Namanga au Holoholo/Lungalunga, au Tarakea,

Vipi kuhusu Kenya -Sudan-Somalia-Ethiopia???
Pia na kupitia sirari mura,uko linear sana
 
Back
Top Bottom