MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Hizo maelfu za Kilometa mmejenga kwa papers? barabara zenu zipo Nairobi pekee na Central kule Kwa kabila la Kikuyu,
Wewe sibitaji kujuelezea sana maana umesafiri Tanzania unaelewa.
The Question is Vipi kuhusu Sudan na Somalia? Huko Lamu ni Isolated, Garisa, Kote huko Matope tupu,
Unaziona kwa papers kwa sababu umezoea narratives za kukaririshwa huko kwa MaCCM, tunawazidi kwa paved and unpaved roads by thousands of kilometers, licha ya nchi yenu kuwa na rotuba nzuri na makazi kote kote, sisi kwetu kaeneo kadogo ndiko kana rotuba na makazi, kwengine huko jangwa tupu lakini tunawazidi kielimu, kijeshi, kiuchumi, na kila kitu, mpo ovyoo sana, inafaa muanze kupata aibu kwa kweli, pia mumetujazia omba omba huku hadi kero.