Duh! Hawa waarabu wa Sudan wameamua kuitia nchi yao kiberiti, wanapigana mpaka basi

Mswahili unapokosea ni hapo, unamcheka mwezio kavaa gauni la kuazima wakati na wewe Hilo shati lako umeazimwa. Waswahili hatuna chetu kuanzia mavazi ,majina na dini kwahiyo usitukane dini ya mwenzako.
Kwani uhovyo wa kitu unatokana na kuazima ?

Kwa taarifa hata hiyo simu unayotumia asili yake sio uswahilini, je, simu ni mbaya au utaacha kutumia simu kwa sababu haina asili ya mswahili.

Think deep, dont sink deep.
 
Hii ndio njia pekee ambayo hurejesha heshima kwa raia/wananchi pamoja na kujenga hali endelevu ya kuheshimiana kati ya watawala na watawaliwa.
 
wamechukua bandari zetu tujiandae kisaikolojia kwa hayo
 
Unawasema wasudani wakati hapa kwenu mnauza mapori na bandari zote kwa kuhongwa V8 na nyumba Dubai?
Bora Sudan wameamua mbwai iwe mbwai.
We nguruwe kafanye shughuli zako, wacha serikali ifanye kazi zake siyo unafuata mkumbo km nyumbu wa Serengeti hata huelewi kinachoendelea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…