Duh! Hii video inatia huruma, kuna Watanzania wanaishi maisha ya tabu sana, mbona hivi kwa kweli

Duh! Hii video inatia huruma, kuna Watanzania wanaishi maisha ya tabu sana, mbona hivi kwa kweli

KUNA WAKENYA WAMEGOMBANIA KUMBIKUMBI WAKAUANA.... hahahahahahahahahahahahaha...... kumbikumbi????
 
Leo mumeumbuka sasa mnatafuta pa kutokea...
Si nynyi huaga mnasema dar hakuna mabanda...sasa leo imekuaje, denial[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Aisee nimeona video ya kibera kwenye runinga ya K24 kuna uchochole/umaskini wa hali ya juu yani watu wanasubiri vitu vilivooza na kutupwa sokoni nao wanaokota kwenda kuuza tena duh
Umaskini upo kila sehemu
 
hapo Kibera Mvua hazijanyesha
1571742964070.png
1571743008682.png
1571743090992.png
 
Mabeberu bana, yaani walizindua video camera na nia moja tu, ya kuihujumu Tz nchi ya asali na maziwa. Ndio maana hatuwafagilii hao washenzi! [emoji1]
 
Kile chama cha kutetea haki za wanaume hapo Nairobi kina kazi ya ziada. Ikiwa watoto wa kiume mna umbea namna hii, kweli mtaachwa kuchapwa makofi na wake zenu?
Kwani wewe mkaazi wa Kinondoni pia? Kulingana na jina lako hilo?
 
H
Hii picha ya kitambo sana. Tazama Kibera hapa inavyozidi kubadilika.

nimeshindwa kuielewa video ya Kibera kwani mwanzo - mwisho jamaa hajashuka kwenye gari ila tu anatuonesha Barabara na vijumba vya pembezoni
amesema Kibera is No 1 BIG SLUM in Africa and World
Hata Mama Tibaijuka alipokuwa UN Habitat aliishughulikia sana Kibera ili wawe wastaarabu vijumba vyao ni mabox askari wanafukuzana na machokoraa vurugu ikitokea inawakuta hata watoto waliojificha vijumbani
Kenya onesheni uhalisia wa maisha msijikweze
 
nimeshindwa kuielewa video ya Kibera kwani mwanzo - mwisho jamaa hajashuka kwenye gari ila tu anatuonesha Barabara na vijumba vya pembezoni
amesema Kibera is No 1 BIG SLUM in Africa and World
Hata Mama Tibaijuka alipokuwa UN Habitat aliishughulikia sana Kibera ili wawe wastaarabu vijumba vyao ni mabox askari wanafukuzana na machokoraa vurugu ikitokea inawakuta hata watoto waliojificha vijumbani
Kenya onesheni uhalisia wa maisha msijikweze
Nadhani umejionea mabadiliko, inashangaza vitu vya msingi hujaona. Watu wanachapa biashara zao tu freshi, wengine wamenunua magari, pikipiki na tuktuk!
Wapi hivyo vyumba vya mabox? Watu wamejenga kwa mawe na mabati. Video hio hapo usiivalie miwani ya mbao.
 
Nadhani umejionea mabadiliko, inashangaza vitu vya msingi hujaona. Watu wanachapa biashara zao tu freshi, wengine wamenunua magari, pikipiki na tuktuk!
Wapi hivyo vyumba vya mabox? Watu wamejenga kwa mawe na mabati. Video hio hapo usiivalie miwani ya mbao.
HAPANA UCHAFU BADO UNATISHA hii ni No 1 in Africa
 
Back
Top Bottom