Duh hizi hela Sh336bn Watanzania wamelazimishwa walipe, poleni

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Kuna wakati mlinyang'anywa ndege kwa ajili ya mambo kama haya, sijui huwa mnanasa vipi kwenye mitego kama hii kizembe. Halafu la kushangaza kutwa mnatusimanga kuhusu Wachina, sisi hadi leo hatujapokonywa chochote.

----------------------------------------------------------------------------------------------

The International Centre for Settlement of Investment Disputes (ICSID) ad hoc committee has upheld a $148.4 million award won by Standard Chartered Bank Hong Kong against Tanzania Electricity Supply Company (Tanesco). vIn its decision, the court, under President Claus von Wobeser, rejected several grounds submitted by Tanesco seeking an annulment of the award.
The decision, a copy of which The Citizen has, upheld an initial decision in which Tanesco must now pay the Hong Kong arm of Standard Chartered Bank a staggering $148.4 million (about Sh336 billion on the prevailing Bank of Tanzania exchange rate) owed under a power agreement.

Both Tanesco managing director, Dr Tito Mwinuka, and the spokesperson for the Attorney General’s Officer, Ms Maura Mwingira, said they were unaware of the decision yesterday.

According to the ICSID committee, the decision dated August 2, 2018 was reached after members unanimously decided that the application for annulment of the award, rendered on September 12, 2016 by Tanesco had to be dismissed in its entirety.
Members of the ICSID ad hoc committee include president Claus von Wobeser, Dr Christoph Schreuer, Ms Bertha Cooper-Rousseau and Secretary Ms Aurélia Antonietti while the assistant to the president of the ad hoc committee is Ms Montserrat Manzano.
The committee also decided that Tanesco shall bear the entire costs of the proceedings, including fees and expenses of the members of the committee while each party shall bear its own legal costs.
Sh336bn award verdict against Tanesco upheld
 
Drama tu hiyo!
Hamna kitu!
IPTL NI TANZANIA!
Acha kushangilia upupu kijana mdogo walahi!
That’s all
 
Hii ndio madhara ya udikteta. Sasa unaweza pata kesi ni kuhusu unlawful termination of contract. Kesi nyingi za nchi za kidikteta huwa hizo. Unakuta dikteta anapoingia madarakani anaamua kucancel project iliyokuwa inaendelea bila kufuata sheria. Hata kesi ya Acacia inaeza ishia hivi tu. Haya ni costs and expenses za dictatorship.
 
there is a room for appeal
NO THIS IS AND WAS THE FINAL RULING, TENESCO HAS NO OPTION OTHER THAN TO PAY 148.7m us dollars at a 4% intrest rate from the 30of september 2015.pls understand how intl law works and read the whole ruling
 

mungiki, Eti udikteta?? Can you compare with $5 Billion plus that Kenya might lose in Canadian mining firm case!

 
Mkuu, huyo dikteta kakugongea mke nini?
 
Sasa naona watu wengine hapa wanasema ati iko nafasi ya "appeal" nataka hao watu wasome uamuzi huu sawa sawa, tenesco haina budi ila kulipa standard bank of hong kong a sum of 148.7m us dollars pamoja na intrest ya 4% toka tarehe 30 september 2015 wakati uamuzi wa kwanza wa kuitaka tenesco ilipe hizo hela ulitolewa, Na kweda shule husaidia kabisa, naona pia wengine hapa wakisema ati ittp, ni ya tz, pls soma hio uamuzi pole pole, uamuzi ni standard bank hong kong ilipwe hizo hela, je ittp kuwa ya tz inatokea wapi?hii uamuzi au hii kesi iliwakiliswa kwa hii kamati na standard bank hong kong na waliositakiwa ni tenesco, tenesco haikulipa umeme ambao tenesco ilikuwa imeingia mkataba ya ittp ambao ilikuwa ni mali ya standard bank hong kong incl, na ndio hao wakafika kwa hii kamati, sasa tenesco sio tu watalipa hii 147.8m us dollars pamoja na hio riba ya 4% kwazia 30sept 2015, lakini pia tenesco imeamuriwa kulipa gharama zote za kesi, vikao vyote, ila tu kila pande italipa gharama ya mawakili wake. sasa tz lazima ilipe hii hela 148.7m us dollars, 4% intrest kwanzia hapo 30sept 2015, na pia gharama yote ya kesi, hio ni kwa mujibu wa uamuzi wa hii korti ya biashara.hakuna kuta rufaa maana hii hela tenesco iliamuliwa kulipa toka 2015, na ndio tenesco ikakata rufaa, ambao matokeo yake na uamuzi ndio haya, hii ni kesi nimeifuata kila hatua toka hapo 2015,na pia nisapata copy ya hii uamuzi, kaa mtu ambae anataka kufanya uekezaji tz, hii kesi ilikuwa ya muhimu sana kwangu,maana kaa intl investor mukikosana na serikali, hii korti ndio unaenda kuwakilisha kesi yako, tz hali sasa ni ngumu sana kwa wekezaji wa kigeni,na ndio unaona hali ya maisha imekuwa mbaya sana, lakini najua siku yaja ambao mambo yatakuwa sawa, baraka tele kwa wote. nafikiri nimefafanua ya kutosha kuhusu hii kesi, mtu ambae ako na swali, jisikie huru kuniadikia nitakupa jibu ya kila swali, mubarikiwe sana.
 
Watakamata bombadier nyingine tena hadi walipe hio deni, njoja uone.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…