Duh hizi hela Sh336bn Watanzania wamelazimishwa walipe, poleni

Wewe ni international investor kwa Tanzania kivipi? Kwani wewe si mtanzania?
 
Watakabeba ka ndege ketu kakienda popote nje maana inadaiwa serikali
 
You know nothing man, better mute and learn, fuatilia madhara ya mkataba wenu wa kijinga na wachina wa sgr.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha, naona ukweli imekuingia kwa nyuma. Na mshawasho imekuzidi

Kujifanya upo concerned na bongo whilst umejawa na wivu, we have the best advocates, walishikilia ndege yetu canad, ipo wapi bongo now, sasa usishabikie mambo mapema usije aibika hii kitu itakapogeuka.
Huelewi huu mkataba wa tanesco na iptl ulivyokuwa wa kinyonyaji na wanufaikaji ni vigogo wa nchi hii hii, ndio walioifungulia case.
Sasa nikiona mmama kama ww wa kikenya unasema dikteta kafanya hivi na vile nakuona fara tu usiejua kitu, zaidi sana umejawa na wivu na husda. Dua la kuku halimpati mwewe


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ni international investor kwa Tanzania kivipi? Kwani wewe si mtanzania?
Kidly i am not a tz citizen, i am intrested in investing in your country pls, hope you have understood me sir
 
Watching these Tanzanians struggling to accept reality is soooo comically sad. Hurling insults at Kenyans won't change this shit sandwich of a ruling
 
Kabla ya kulimbilia kutoa comment, try and get your facts right i.e when did this case start.
 
Hii ni ndeni ndogo sana, Acacia wako na $190B ya Tanzania na hawasubui..What the fvck is $148m? Hii ni pesa kinyesi..Hata si lazima walipwe..ndeni linaweza taifishwe liwe goverment bond walipwe Intrest ya 0.0001% per year miaka elfu mbili..Si haja yao ni pesa tu
 
And this tenasco is supposed to electrify the esgiira?! Hahaha....ok.
 

mmmmm.......jipe raha mwenyewe!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…