DUH: HUYU MAGUFULI ATAKUWA FROM HERO TO ZERO

kina moha waliandika na kuwasema wote wenye rushwa mbona hawajipigwa izo risasi
Hujafuatilia Jana Maoni ya waandishi huko labda,
Waandishi walitoa Changamoto zao Kenya,
Vitisho ni vikubwa sana,
Kuna vyombo vingine imefikia hatua havipati mgao wa Serikali kwenye Matangazo kisa
Kuripoti Ufisadi unao fanywa Serikalini
 
Wewe wakati huwa unaandika kuhusu Trump kule kwenye jukwaa la kimataifa huwa unataka kuwa Mmarekani. Dunia ni kijiji, kila kiongozi anajadiliwa kwenye majukwaa yote, hutaki basi usiingie JF wala kuomba omba bundle hapo Lumumba street.

Tye tye tye kweli we kituko
 
Lakini Tanzania yetu has more press freedom than Kenya, kwenye ranking za Kidunia Kenya, Uganda &Co. wako chini kabisa na Tanzania yetu inaongoza AM!
Hata rushwa mkuu. Jana South Africa kumetoka ripoti yakwamba Kenyans wanaongoza kwa rushwa sisi hatumo
 
Yeyote anayehusika na tamko hili, NAAMINI KILA SIKU ANALETEWA MAGAZETI YOTE OFISINI BUREEEE, sasa kuna wale wanyonge wenye haki ya kupata habari, ila hawana uwezo wa kununua magazeti. Yan hta hiyo ofa ndogo tu wamenyimwa, kwa sababu naamini hata kwenye redio HUWEZI KUSOMEWA GAZETI LOTE, ni habari chache tu utasomewa. Na hata hvy, hakuna redio iliyokuwa inasoma habari yote, walikuw wanasoma kidogo tu. Nway, tunasubir tamko jingine
 
Wewe wakati huwa unaandika kuhusu Trump kule kwenye jukwaa la kimataifa huwa unataka kuwa Mmarekani. Dunia ni kijiji, kila kiongozi anajadiliwa kwenye majukwaa yote, hutaki basi usiingie JF wala kuomba omba bundle hapo Lumumba street.

WADAU HAMJAELEWA MAADA HII " UKISOMA KILA KITU NANI ATANUNUA MAGAZETI?"... WENYE MAGAZETI WATAUZA NINI?..... WATALIPA KODI VIPI KAMA WATU HAWANUNUI MAGAZETI... HATA HAPA NILIPO MBALI SANA NA NYUMBANI.." UTARATIBU NI UWOUWO...ACHENI KUONGELEA KILA JAMBO KISIASA
 

Kilichokatatazwa ni kusoma habari nzima iliyoandikwa na gazeti redioni au kwenye tv, wanachotakiwa ni kusoma heading au kugusia kidogo tu! Na hili ni kwa nia njema kabisa, tena lina wafavour wenye magazeti na wamekuwa wakilalama mara kwa mara kuwa kitendo cha kusoma habari nzima kwenye redio kunazorotesha biashara maana hakuna atakayenunua habari ambayo ameshaiskia mwanzo mwisho!
 
Pale nyang'au wa Kenya anapodai kujua haya mambo kuliko wamiliki wa magazeti Tanzania.

 
Mnashindwa kujua yakwenu ya Tanzania hamyawezi,
Ripoti ilitoka ya Uhuru wa vyombo vya habari Kenya mpo nafasi ya 90+
Sasa jilinganisheni na Tanzania kisha mje na Upuuzi wenu.
Vipi bosss! inakuwaje leo unachangamkia 'stats' kihivyo. Huwa mnadai ya kuwa wakenya tunashabikia tafiti ambazo nyinyi huwa hamna imani nazo?.
 
As long as he's delivering, hakuna noma. Hero to zero in your country, ngojea uchaguzi 2020 ndio utashangaa hizo zeros zinavogeuka into millions.

....Hahaaaa eti zeros zinageuka into millions....Chezea nguvu ya free Kapelo's, Kanga & Flana....
 
Umehitimisha hoja kijinga sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…