Hujafuatilia Jana Maoni ya waandishi huko labda,kina moha waliandika na kuwasema wote wenye rushwa mbona hawajipigwa izo risasi
Wewe wakati huwa unaandika kuhusu Trump kule kwenye jukwaa la kimataifa huwa unataka kuwa Mmarekani. Dunia ni kijiji, kila kiongozi anajadiliwa kwenye majukwaa yote, hutaki basi usiingie JF wala kuomba omba bundle hapo Lumumba street.
Hata rushwa mkuu. Jana South Africa kumetoka ripoti yakwamba Kenyans wanaongoza kwa rushwa sisi hatumoLakini Tanzania yetu has more press freedom than Kenya, kwenye ranking za Kidunia Kenya, Uganda &Co. wako chini kabisa na Tanzania yetu inaongoza AM!
Chuki hutokana na nini?Nchi ikiwa na watu waliojaa chuki na visasi hatuwezi kufika mbali.
Wewe wakati huwa unaandika kuhusu Trump kule kwenye jukwaa la kimataifa huwa unataka kuwa Mmarekani. Dunia ni kijiji, kila kiongozi anajadiliwa kwenye majukwaa yote, hutaki basi usiingie JF wala kuomba omba bundle hapo Lumumba street.
Published on May 3, 2017
May 3 2017 ni maadhimisho ya Uhuru wa vyombo vya Habari ambapo kitaifa yamefanyika Mwanza na kuhudhuriwa na Wadau pamoja na Waziri wa Habari Utamaduni, Sanaa na Michezo Dk Harrison Mwakyembe.
Marufuku Magazeti kusomwa Redioni na TV Tanzania - Dr. Mwakyembe
Millard Ayo
Hapa sasa ni kama Kenya wakati wa Rais MOI. Nchi itaongozwa na dikteti kupita rais museveni na kagame combined!!!
Vipi bosss! inakuwaje leo unachangamkia 'stats' kihivyo. Huwa mnadai ya kuwa wakenya tunashabikia tafiti ambazo nyinyi huwa hamna imani nazo?.Mnashindwa kujua yakwenu ya Tanzania hamyawezi,
Ripoti ilitoka ya Uhuru wa vyombo vya habari Kenya mpo nafasi ya 90+
Sasa jilinganisheni na Tanzania kisha mje na Upuuzi wenu.
As long as he's delivering, hakuna noma. Hero to zero in your country, ngojea uchaguzi 2020 ndio utashangaa hizo zeros zinavogeuka into millions.
Umehitimisha hoja kijinga sana.Dah! Inabidi kukaa pembeni na kutazama kwa macho, itachukua muda sana mimi kumwelewa Magufuli anachojaribu kufanya au malengo yake, maana kila uchao anaibuka na jipya, hujui kesho atakuja na lipi. Halafu anathubutu chochote bila breki. Juzi ametangaza kuwafuta wote wenye vyeti feki nikamsifia, leo ameibuka na hili la kuzuia magazeti kusomwa redioni...khaa!
Labda ndani ya miaka mitano tutamwelewa, labda huyu ndiye aina ya rais Afrika inahitaji au ndiye wa kukaa mbali naye. Labda Afrika hatuhitaji uhuru wa maoni, magazeti wala demokrasia za wazungu vitu ambavyo naona Magufuli anaviminya, au labda atakua anafanya makosa makubwa sana. Tusubiri tuone experiments zake hizi kama zitafua dafu.
Akipewa kipaaza sauti na kuanza kutoa hotuba, yeye huzungumza kilicho moyoni, wala harembi au kupaka kwa mgongo wa chupa. Anasema tu liwalo na liwe, juzi kawaambia watu wa Kilimanjaro amewasamehe kwa kupigia kura upinzani, kwanza kule Kagera ndio katema cheche wakati wa janga la tetemeko la ardhi. Halafu keshasema hapangiwi na wala asijaribiwe na mtu....hehehehe!!
Haya Magufuli yetu macho mzee, labda wewe ndiye kiongozi wa kuigwa na utainyanyua Tanzania iwe kwenye level mpya kiuchumi na kimaendeleo kwa kuzuia makelele na maneno mengi ya Waswahili na kuwaburuza kwa pua ili wafanye kazi na kuacha soga au labda wewe ndiye utaipiga chini nchi kwa kutotaka ushauri wala nini.
Nafikiri kinachomfanya Magufuli awe hivi ni kwa sababu ya upinzani. Wapinzani wa Kiafrika hawajui kukosoa kwa nia njema, wao hupinga chochote kwa vyovyote na kwa nguvu zote, hawana lolote njema wala cha kusifia, hapo inabidi rais kujitoa ufahamu na kufanya yake ili atimize malengo yake.