DUH: HUYU MAGUFULI ATAKUWA FROM HERO TO ZERO

DUH: HUYU MAGUFULI ATAKUWA FROM HERO TO ZERO

waltham

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2014
Posts
2,522
Reaction score
1,045
Published on May 3, 2017
May 3 2017 ni maadhimisho ya Uhuru wa vyombo vya Habari ambapo kitaifa yamefanyika Mwanza na kuhudhuriwa na Wadau pamoja na Waziri wa Habari Utamaduni, Sanaa na Michezo Dk Harrison Mwakyembe.

Marufuku Magazeti kusomwa Redioni na TV Tanzania - Dr. Mwakyembe

Millard Ayo

Hapa sasa ni kama Kenya wakati wa Rais MOI. Nchi itaongozwa na dikteti kupita rais museveni na kagame combined!!!
 
Published on May 3, 2017
May 3 2017 ni maadhimisho ya Uhuru wa vyombo vya Habari ambapo kitaifa yamefanyika Mwanza na kuhudhuriwa na Wadau pamoja na Waziri wa Habari Utamaduni, Sanaa na Michezo Dk Harrison Mwakyembe.

Marufuku Magazeti kusomwa Redioni na TV Tanzania - Dr. Mwakyembe

Millard Ayo

Hapa sasa ni kama Kenya wakati wa Rais MOI. Nchi itaongozwa na dikteti kupita rais museveni na kagame combined!!!


Lakini Tanzania yetu has more press freedom than Kenya, kwenye ranking za Kidunia Kenya, Uganda &Co. wako chini kabisa na Tanzania yetu inaongoza AM!
 
Mwenyewe huwa sinunui hayo magazeti, wakishaeleza kila kitu hakuna haja ya kununua. Nikitaka gazeti nitanunua the citizen /daily news/East African au the Guardian humo lazima ukutane na vitu vingi vipya na vya kuelimisha.
 
Mwenyewe huwa sinunui hayo magazeti, wakishaeleza kila kitu hakuna haja ya kununua. Nilitaka gazeti nitanunua the citizen /daily news/East African au the Guardian humo lazima ukutane na vitu vingi vipya na vya kuelimisha.
 
Dah! Inabidi kukaa pembeni na kutazama kwa macho, itachukua muda sana mimi kumwelewa Magufuli anachojaribu kufanya au malengo yake, maana kila uchao anaibuka na jipya, hujui kesho atakuja na lipi. Halafu anathubutu chochote bila breki. Juzi ametangaza kuwafuta wote wenye vyeti feki nikamsifia, leo ameibuka na hili la kuzuia magazeti kusomwa redioni...khaa!

Labda ndani ya miaka mitano tutamwelewa, labda huyu ndiye aina ya rais Afrika inahitaji au ndiye wa kukaa mbali naye. Labda Afrika hatuhitaji uhuru wa maoni, magazeti wala demokrasia za wazungu vitu ambavyo naona Magufuli anaviminya, au labda atakua anafanya makosa makubwa sana. Tusubiri tuone experiments zake hizi kama zitafua dafu.

Akipewa kipaaza sauti na kuanza kutoa hotuba, yeye huzungumza kilicho moyoni, wala harembi au kupaka kwa mgongo wa chupa. Anasema tu liwalo na liwe, juzi kawaambia watu wa Kilimanjaro amewasamehe kwa kupigia kura upinzani, kwanza kule Kagera ndio katema cheche wakati wa janga la tetemeko la ardhi. Halafu keshasema hapangiwi na wala asijaribiwe na mtu....hehehehe!!

Haya Magufuli yetu macho mzee, labda wewe ndiye kiongozi wa kuigwa na utainyanyua Tanzania iwe kwenye level mpya kiuchumi na kimaendeleo kwa kuzuia makelele na maneno mengi ya Waswahili na kuwaburuza kwa pua ili wafanye kazi na kuacha soga au labda wewe ndiye utaipiga chini nchi kwa kutotaka ushauri wala nini.

Nafikiri kinachomfanya Magufuli awe hivi ni kwa sababu ya upinzani. Wapinzani wa Kiafrika hawajui kukosoa kwa nia njema, wao hupinga chochote kwa vyovyote na kwa nguvu zote, hawana lolote njema wala cha kusifia, hapo inabidi rais kujitoa ufahamu na kufanya yake ili atimize malengo yake.
 
nonsense....mwisho yatafungiwa kabisa hayo magazeti.alafu watu wanasema anadeliver.inaanza tu na izi baby steps
 
Mnashindwa kujua yakwenu ya Tanzania hamyawezi,
Ripoti ilitoka ya Uhuru wa vyombo vya habari Kenya mpo nafasi ya 90+
Sasa jilinganisheni na Tanzania kisha mje na Upuuzi wenu.
 
nonsense....mwisho yatafungiwa kabisa hayo magazeti.alafu watu wanasema anadeliver.inaanza tu na izi baby steps
Kwa taarifa yako hao wamiliki wa hayo magazeti ndio wakwanza kufurahia Taarifa hiyo,
Gazeti linasomwa habari mwanzo mwisho nani akanunue !!?
Kwasasa habari itasomwa kichwa chake tu
ukitaka mwendelezo unakwenda kununua.
KTN kenya Kwasasa magazeti yake waandishi wanaficha majina yao halisi
kuogopa kupigwa Risasi maana wanatishwa kila kukicha hasa kuhusu habari za Rushwa,
Anza mlangoni mwako kabla ya kuangalia mlango wa Jirani
 
Published on May 3, 2017
May 3 2017 ni maadhimisho ya Uhuru wa vyombo vya Habari ambapo kitaifa yamefanyika Mwanza na kuhudhuriwa na Wadau pamoja na Waziri wa Habari Utamaduni, Sanaa na Michezo Dk Harrison Mwakyembe.

Marufuku Magazeti kusomwa Redioni na TV Tanzania - Dr. Mwakyembe

Millard Ayo

Hapa sasa ni kama Kenya wakati wa Rais MOI. Nchi itaongozwa na dikteti kupita rais museveni na kagame combined!!!
Hujaelewa mantiki yake! Tulia kwanza maana hata wenye magazeti hapa wataunga mkono.
 
Dah! Inabidi kukaa pembeni na kutazama kwa macho, itachukua muda sana mimi kumwelewa Magufuli anachojaribu kufanya au malengo yake, maana kila uchao anaibuka na jipya, hujui kesho atakuja na lipi. Halafu anathubutu chochote bila breki. Juzi ametangaza kuwafuta wote wenye vyeti feki nikamsifia, leo ameibuka na hili la kuzuia magazeti kusomwa redioni...khaa!

Labda ndani ya miaka mitano tutamwelewa, labda huyu ndiye aina ya rais Afrika inahitaji au ndiye wa kukaa mbali naye. Labda Afrika hatuhitaji uhuru wa maoni, magazeti wala demokrasia za wazungu vitu ambavyo naona Magufuli anaviminya, au labda atakua anafanya makosa makubwa sana. Tusubiri tuone experiments zake hizi kama zitafua dafu.

Akipewa kipaaza sauti na kuanza kutoa hotuba, yeye huzungumza kilicho moyoni, wala harembi au kupaka kwa mgongo wa chupa. Anasema tu liwalo na liwe, juzi kawaambia watu wa Kilimanjaro amewasamehe kwa kupigia kura upinzani, kwanza kule Kagera ndio katema cheche wakati wa janga la tetemeko la ardhi. Halafu keshasema hapangiwi na wala asijaribiwe na mtu....hehehehe!!

Haya Magufuli yetu macho mzee, labda wewe ndiye kiongozi wa kuigwa na utainyanyua Tanzania iwe kwenye level mpya kiuchumi na kimaendeleo kwa kuzuia makelele na maneno mengi ya Waswahili na kuwaburuza kwa pua ili wafanye kazi na kuacha soga au labda wewe ndiye utaipiga chini nchi kwa kutotaka ushauri wala nini.

Huna akili. Unamuhusishaje Magufuli na hili? Wewe ni mjinga.

Watu wamagazeti ndio wamemuomba waziri aiweke hiyo ban.

TV hununua magazeti then huwasomea watu kila kilicho andikwa kwenye newspaper na sio gazeti moja bali yote, sasa nani atanunua magazeti?

Ndio maana wameban kusoma habari nzima, wawe wanasoma headlines tu na sio habari zilizo andikwa.
 
Kwa taarifa yako hao wamiliki wa hayo magazeti ndio wakwanza kufurahia Taarifa hiyo,
Gazeti linasomwa habari mwanzo mwisho nani akanunue !!?
Kwasasa habari itasomwa kichwa chake tu
ukitaka mwendelezo unakwenda kununua.
KTN kenya Kwasasa magazeti yake waandishi wanaficha majina yao halisi
kuogopa kupigwa Risasi maana wanatishwa kila kukicha hasa kuhusu habari za Rushwa,
Anza mlangoni mwako kabla ya kuangalia mlango wa Jirani
kina moha waliandika na kuwasema wote wenye rushwa mbona hawajipigwa izo risasi
 
Dah! Inabidi kukaa pembeni na kutazama kwa macho, itachukua muda sana mimi kumwelewa Magufuli anachojaribu kufanya au malengo yake, maana kila uchao anaibuka na jipya, hujui kesho atakuja na lipi. Halafu anathubutu chochote bila breki. Juzi ametangaza kuwafuta wote wenye vyeti feki nikamsifia, leo ameibuka na hili la kuzuia magazeti kusomwa redioni...khaa!

Labda ndani ya miaka mitano tutamwelewa, labda huyu ndiye aina ya rais Afrika inahitaji au ndiye wa kukaa mbali naye. Labda Afrika hatuhitaji uhuru wa maoni, magazeti wala demokrasia za wazungu vitu ambavyo naona Magufuli anaviminya, au labda atakua anafanya makosa makubwa sana. Tusubiri tuone experiments zake hizi kama zitafua dafu.

Akipewa kipaaza sauti na kuanza kutoa hotuba, yeye huzungumza kilicho moyoni, wala harembi au kupaka kwa mgongo wa chupa. Anasema tu liwalo na liwe, juzi kawaambia watu wa Kilimanjaro amewasamehe kwa kupigia kura upinzani, kwanza kule Kagera ndio katema cheche wakati wa janga la tetemeko la ardhi. Halafu keshasema hapangiwi na wala asijaribiwe na mtu....hehehehe!!

Haya Magufuli yetu macho mzee, labda wewe ndiye kiongozi wa kuigwa na utainyanyua Tanzania iwe kwenye level mpya kiuchumi na kimaendeleo kwa kuzuia makelele na maneno mengi ya Waswahili na kuwaburuza kwa pua ili wafanye kazi na kuacha soga au labda wewe ndiye utaipiga chini nchi kwa kutotaka ushauri wala nini.

Unaandika Habari ndeefu mantiki Ziro,
Utamuelewa mtu vipi wakati huna faida kwake au kwa taifa lake.
Yule ni Rais wa Tanzania siyo Rais wa Kenya
kumuelewa au kuto muelewa haita saidia watanzania.
 
Huna akili. Unamuhusishaje Magufuli na hili? Wewe ni mjinga.

Watu wamagazeti ndio wamemuomba waziri aiweke hiyo ban.

TV hununua magazeti then huwasomea watu kila kilicho andikwa kwenye newspaper na sio gazeti moja bali yote, sasa nani atanunua magazeti?

Ndio maana wameban kusoma habari nzima, wawe wanasoma headlines tu na sio habari zilizo andikwa.

Achana na huyo Mnafiki na Mzandiki
zake kujikweza tu!!
Bila kufuatilia chanzo yeye kakurupuka tu
hahaha
 
Unaandika Habari ndeefu mantiki Ziro,
Utamuelewa mtu vipi wakati huna faida kwake au kwa taifa lake.
Yule ni Rais wa Tanzania siyo Rais wa Kenya
kumuelewa au kuto muelewa haita saidia watanzania.

Wewe wakati huwa unaandika kuhusu Trump kule kwenye jukwaa la kimataifa huwa unataka kuwa Mmarekani. Dunia ni kijiji, kila kiongozi anajadiliwa kwenye majukwaa yote, hutaki basi usiingie JF wala kuomba omba bundle hapo Lumumba street.
 
Back
Top Bottom