waltham
JF-Expert Member
- Jan 23, 2014
- 2,522
- 1,045
Published on May 3, 2017
May 3 2017 ni maadhimisho ya Uhuru wa vyombo vya Habari ambapo kitaifa yamefanyika Mwanza na kuhudhuriwa na Wadau pamoja na Waziri wa Habari Utamaduni, Sanaa na Michezo Dk Harrison Mwakyembe.
Marufuku Magazeti kusomwa Redioni na TV Tanzania - Dr. Mwakyembe
Millard Ayo
Hapa sasa ni kama Kenya wakati wa Rais MOI. Nchi itaongozwa na dikteti kupita rais museveni na kagame combined!!!
May 3 2017 ni maadhimisho ya Uhuru wa vyombo vya Habari ambapo kitaifa yamefanyika Mwanza na kuhudhuriwa na Wadau pamoja na Waziri wa Habari Utamaduni, Sanaa na Michezo Dk Harrison Mwakyembe.
Marufuku Magazeti kusomwa Redioni na TV Tanzania - Dr. Mwakyembe
Millard Ayo
Hapa sasa ni kama Kenya wakati wa Rais MOI. Nchi itaongozwa na dikteti kupita rais museveni na kagame combined!!!