MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Msafara wa kiongozi fulani ambaye hajatambulika bado, ulikiuka sheria za usalama barabarani na kuwataka madereva waupishe, huyu Mkenya hapa kwa kujitambua alisimamisha gari lake na kugoma kuliondoa.
Kuna nchi ambazo ukijaribu kitu kama hiki, lazima watu wasiojulikana wakuhusu.
Kuna nchi ambazo ukijaribu kitu kama hiki, lazima watu wasiojulikana wakuhusu.