Hajafanya poa he should respect authority
Kiongozi wa hivi ingekuwa Bongo chini ya JPM hata kazi angeikosa ndani ya masaa 24.Msafara wa kiongozi fulani ambaye hajatambulika bado, ulikiuka sheria za usalama barabarani na kuwataka madereva waupishe, huyu Mkenya hapa kwa kujitambua alisimamisha gari lake na kugoma kuliondoa.
Kuna nchi ambazo ukijaribu kitu kama hiki, lazima watu wasiojulikana wakuhusu.
Acha uongo, Tanzania tunapoelekea hata mbwa wa polisi watakuwa na escortSasa Kenya mpaka jumbe ana king'ora lazima barabarani kuwe na vurugu mechi, Tanzania wenye escorts ni viongozi hawazidi watano nchi nzima.
And disrespect the road law?!Hajafanya poa he should respect authority
Kiongozi wa hivi ingekuwa Bongo chini ya JPM hata kazi angeikosa ndani ya masaa 24.
Mnaleana sana Majirani zetu, huo ni ujinga
Ulishauona msafara wa mama nginaa wewe? Maria Nyerere huwezi kumuona na escorts hata siku moja.Acha uongo, Tanzania tunapoelekea hata mbwa wa polisi watakuwa na escort
Bongo nyingine ama ile tunaijua ambayo kuna viongozi kama akina Daudi Bashite wenye uwezo hata wa kuingia kwenye vituo vya habari na kufanya vurugu humo na wasiguswe na mtu. Spika anaamrisha CAG, yaani huko kwenu kila kiongozi full mikwara na ubabe.
Uliona msafara wa Mama Ngina kwenye filamu ya comedy au, na Maria Nyerere ndio nani?Ulishauona msafara wa mama nginaa wewe? Maria Nyerere huwezi kumuona na escorts hata siku moja.
Msafara wa mama nginaa ni kama wa Rais
Unaishi wapi mzee hii bongo ina misafara yenye escort zaidi ya elfu kumi, yani ni kero labda ww mishe mishe zako ni pembeni ya jiji.Sasa Kenya mpaka jumbe ana king'ora lazima barabarani kuwe na vurugu mechi, Tanzania wenye escorts ni viongozi hawazidi watano nchi nzima.
Msafara wa kiongozi fulani ambaye hajatambulika bado, ulikiuka sheria za usalama barabarani na kuwataka madereva waupishe, huyu Mkenya hapa kwa kujitambua alisimamisha gari lake na kugoma kuliondoa.
Kuna nchi ambazo ukijaribu kitu kama hiki, lazima watu wasiojulikana wakuhusu.
Uliona msafara wa Mama Ngina kwenye filamu ya comedy au, na Maria Nyerere ndio nani?