Duh! Huyu Mkenya kwa ujasiri agoma kupisha msafara wa kiongozi uliokuwa umekiuka sheria barabarani

Upo sahihi ila kuheshimu mamlaka sehemu ulipo si vibaya,na kwa mazingira ya Africa ni ngumu sana hata huyo Magu unayemsema akiwa ziarani hapa Dsm njia huwa inafungwa hata Saa 6 na alichokifanya huyo jamaa ni hatari kwa maisha yake

Kuna tofauti kati ya kuheshimu na kuogopa, tunafaa tuheshimu mamlaka lakini sio kuogopa, njia kufungwa hiyo sawa maana itaondoa usumbufu, pia ndio maana huwa askari wanatangulizwa ili kuweka mambo sawa kiongozi apite bila usumbufu, fahamu kama msafara unatokea kwa nyuma na wanataka kukupita, hapo ni sahihi kuondoka, lakini hili la wao kuingia 'wrong side' na kuibuka kwa mbele, hapo wamevunja sheria na watasababisha usumbufu mkubwa.
 
Sawa Mkuu acha tuishie hapo
 
Safi sana.....
Wanatakiwa watu kama Hao...

Ova
 
huyo mzee aliamka vibaya tu akitafuta sababu ya kugongwa makofi,bahati walimpuuza muda mchache.

ingekuwa ni ambulance pia asingepisha sababu inavunja sheria,au anaona wivu[emoji16][emoji16] hajawahi kufunguliwa barabara???

tz sheria iko wazi,kuna gari za dharula zinaruhusiwa kupita njia inayorudi,ila kwa kuwasha king'ora ili ipishwe.sasa hizo gari za dharula zote ukiizuia isipite utasababisha matatizo makubwa usiweze hata kuyabeba.
 
Safi sana. Anaitwa Boniface Mwangi 'Boni Boni', mkenya halisi. Huyu jamaa huwa ananikosha sana na hizi shughuli zake, na ujasiri wake pia. Kila mara polisi wakimuona huwa wanachangamka kupindukia.
 
Brains and freedom at work. Kenya is the free world of Africa [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Ulichosahau kusema ni kua msafara ulikua upande sahihi tofaut na mlalamikaji kwenye video, msafara umevunja sheria
 
Tanzanians, please don't try this at home! Msithubutu kumuiga huyu mkenya Boniface Mwangi.


 
Nikisema wakenya mna matatizo,hamnielewi
Huyo ni mpunbavu tu kama walivyo wakenya wengi
Sheria ya usalama barabarani inatoa ruhusa kwa askari kubadili uelekeo,kusimama au kuamuru vyovyote iwapo kuna dharura
Ndio mana utakuta askari anaongoza magari wakati traffic lights zinafanya kazi,kwa nini zikiwaka kijani hupiti unasubiri maelekezo ya askari?
MwaKa jana kenya walikufa walinzi sita wa kikosi cha ulinzi wa Rais wa kenya baada ya msafara wao kulipukiwa na lori la mafuta,kutokana na ushenzi kama huu
Mwaka juzi VP Ruto alijikuta anafika airport bila ya walinzi baada ya gari ya walinzi kuzuiwa njiani na kujikuta wakmuacha kiongozi peke yake
Ndio mana hatuwataki kwa vi tabia vyenu vya kiajabu ajabu
Umeona msafara,askari anakwambia pisha,umeng'ang.ania je kama ni kiongozi anawahishwa hosputali?
Halafu ni likikuyu hilo linamsifia royal blood mwenzake
 
Unaongea kuhusu sheria za nchi gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…