Upo sahihi ila kuheshimu mamlaka sehemu ulipo si vibaya,na kwa mazingira ya Africa ni ngumu sana hata huyo Magu unayemsema akiwa ziarani hapa Dsm njia huwa inafungwa hata Saa 6 na alichokifanya huyo jamaa ni hatari kwa maisha yake
Sawa Mkuu acha tuishie hapoKuna tofauti kati ya kuheshimu na kuogopa, tunafaa tuheshimu mamlaka lakini sio kuogopa, njia kufungwa hiyo sawa maana itaondoa usumbufu, fahamu kama msafara unatokea kwa nyuma na wanataka kukupita, hapo ni sahihi kuondoka, lakini hili la wao kuingia 'wrong side' na kuibuka kwa mbele, hapo wamevunja sheria na watasababisha usumbufu mkubwa.
Angepewa PEPs bareeed!Hivi wabongo huko kwenu huyu raia angekuwa wapi sa iv
Hiyo Authority gani ambayo haiheshimu sheria za barabara? Pigwa vidole weweHajafanya poa he should respect authority
Tanzania huyo wangemvunja kiuno
KusipojulikanaHivi wabongo huko kwenu huyu raia angekuwa wapi sa iv
huyo mzee aliamka vibaya tu akitafuta sababu ya kugongwa makofi,bahati walimpuuza muda mchache.Kuna tofauti kati ya kuheshimu na kuogopa, tunafaa tuheshimu mamlaka lakini sio kuogopa, njia kufungwa hiyo sawa maana itaondoa usumbufu, pia ndio maana huwa askari wanatangulizwa ili kuweka mambo sawa kiongozi apite bila usumbufu, fahamu kama msafara unatokea kwa nyuma na wanataka kukupita, hapo ni sahihi kuondoka, lakini hili la wao kuingia 'wrong side' na kuibuka kwa mbele, hapo wamevunja sheria na watasababisha usumbufu mkubwa.
Hajafanya poa he should respect authority
Ulichosahau kusema ni kua msafara ulikua upande sahihi tofaut na mlalamikaji kwenye video, msafara umevunja sheriaAhaa ha ha kuna siku niko Washington nika sikia ving'ora, mara nikaona msafara una magari kama matatu hivi na pikipiki mbili. Lkn nilichoona, madereva wengine walisimama kulia ili kupisha msafara. Msafara ulipopita waliendelea na safari zao. Kwa hiyo huyo mkenya sijui anaelewa maada ya executive ambao wanapaswa kupita kwa upesi kwa ajili ya usalama wao na kuwahi muda.
Umemuhesabu mkuu wa mkoa?Sasa Kenya mpaka jumbe ana king'ora lazima barabarani kuwe na vurugu mechi, Tanzania wenye escorts ni viongozi hawazidi watano nchi nzima.
Nikisema wakenya mna matatizo,hamnielewiMsafara wa kiongozi fulani ambaye hajatambulika bado, ulikiuka sheria za usalama barabarani na kuwataka madereva waupishe, huyu Mkenya hapa kwa kujitambua alisimamisha gari lake na kugoma kuliondoa.
Kuna nchi ambazo ukijaribu kitu kama hiki, lazima watu wasiojulikana wakuhusu.
Unaongea kuhusu sheria za nchi gani?Nikisema wakenya mna matatizo,hamnielewi
Huyo ni mpunbavu tu kama walivyo wakenya wengi
Sheria ya usalama barabarani inatoa ruhusa kwa askari kubadili uelekeo,kusimama au kuamuru vyovyote iwapo kuna dharura
Ndio mana utakuta askari anaongoza magari wakati traffic lights zinafanya kazi,kwa nini zikiwaka kijani hupiti unasubiri maelekezo ya askari?
MwaKa jana kenya walikufa walinzi sita wa kikosi cha ulinzi wa Rais wa kenya baada ya msafara wao kulipukiwa na lori la mafuta,kutokana na ushenzi kama huu
Mwaka juzi VP Ruto alijikuta anafika airport bila ya walinzi baada ya gari ya walinzi kuzuiwa njiani na kujikuta wakmuacha kiongozi peke yake
Ndio mana hatuwataki kwa vi tabia vyenu vya kiajabu ajabu
Umeona msafara,askari anakwambia pisha,umeng'ang.ania je kama ni kiongozi anawahishwa hosputali?
Halafu ni likikuyu hilo linamsifia royal blood mwenzake