Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 4,460
- 13,715
Ukitaka kula pesa ya mwa afrika basi uijiingize ktk huduma za kiroho na ukitaka kujua roho chafu za watu basi mnunulie pombe mganga alewe alafu akuambie mambo anayoletewa kuyafanyia kazi.
Ni mapicha unayaona tu mara mbuzi ameuliwa na amechorwa maumbo na alama tofauti.
Alafu chini ya posts zao kunakuwa kuna comments za kujirudia rudia za ushuhuda wa kufanikiwa na huduma zao.
Wengine wanaonganisha intro ya ayo tv na contents zao ili waonekane wako credibe zaidi.
Hali imekuwa ngumu ndugu zangu, angalieni msije kulizwa ndugu zangu.
Ni mapicha unayaona tu mara mbuzi ameuliwa na amechorwa maumbo na alama tofauti.
Alafu chini ya posts zao kunakuwa kuna comments za kujirudia rudia za ushuhuda wa kufanikiwa na huduma zao.
Wengine wanaonganisha intro ya ayo tv na contents zao ili waonekane wako credibe zaidi.
Hali imekuwa ngumu ndugu zangu, angalieni msije kulizwa ndugu zangu.