Duh kumbe rabies inasabisha hadi hydrophobia (hofu ya maji)

Duh kumbe rabies inasabisha hadi hydrophobia (hofu ya maji)

Haya chukueni hiyo" kwa kawaida mbwa mwenye kichaa cha mbwa akitaka kukushambulia au kukung'ata huwa haji moja kwa moja kukukabili daima huja kiupande upande
Kama hataki vile kumbe ndio anakuja vyooh😅
Kichaa cha mbwa kiko na stages 3, ya kwanza baada ya incubation period (3-8 weeks ila yaweza kuwa hata baada ya 10 days inategemea na site of bite).

1. Prodromal period (dullness stage), hapa utamuona mbwa anakuwa ka zezeta na anapenda kujificha gizani (photophobia), alizoea kukukimbilia na kucheza utaona anaacha hizi mambo, huchukua siku 1-3, ziko dalili nyingine nyingi.

2. Exitative period (furious form), utaona mbwa alokuwa rafiki anakuchangea, hatulii muda wote, ka anawashwa vile, anazunguka huko na kule na akijigonga kwenye vitu, anang'ata vitu mbalimbali kama miti mawe na hapa ndo utaona anang'ata Hadi watu, ukimfungia atang'ata banda kila sehemu, anatoa macho, anajaribu kubweka lakini sauti haitoki vizuri, mbwa dume utaona anatoa uume kila mala, baada ya siku 2-3 utaona anatoa mate mengi na ulimi nje.

3. Paralytic period (dumbness stage), hapa mbwa anaparalyse na baadae anakufa.
 
Dude thinks he knows everything but he is a pile of shit.
Unasema kichaa cha mbwa kinatibika labda utueleza hiyo tiba uliigundua lini mkuu, rabies attacks the nervous system na kusababisha paralysis, unaweza vipi kubweka na umeparalyse? pia hiyo hydrophobia yako ni questionable, kuna tofauti kubwa kati ya kushindwa kumeza maji na kuyaogopa maji, rabid patient haogopi maji ila hawezi kunywa maji sababu katika late days za stage 2 paralysis inaanza so mechanism ya kumeza inaseize.
 
Hehe..maneno mengi ya nini si mtuoneshe hapa huyo rabid person anaebweka ka mbwa? hizi ni taaluma za watu tuwaachie aisee.
Hey dude, I've seen one, it happens. And it's not typical barking but kunakua na some vocalization cause of laryngospasm. Ndio maana waswahili wakaita 'kichaa cha mbwa', sio kwamba wataalamu walikua wanajua inatokana na mng'ato from dogs only, nope! haikuja kwa bahati mbaya.
 
Ni hatari wanasema mbwa mwenye kichaa akimuuma mtu kama hajatibiwa mapema atabweka na kutikisa mkia
 
Hey dude, I've seen one, it happens. And it's not typical barking but kunakua na some vocalization cause of laryngospasm. Ndio maana waswahili wakaita 'kichaa cha mbwa', sio kwamba wataalamu walikua wanajua inatokana na mng'ato from dogs only, nope! haikuja kwa bahati mbaya.
Acha zako bhana, kichaa cha mbwa sababu kwa huku kwetu kwa sehemu kubwa kinasambazwa na mbwa, mbwa anakitoa kwa wild animals, ukikuta paka yuko na rabies katoa kwa mbwa, hao mapopo mnaowasena hapa wala Africa hawapo na hao ndo wanaoongoza Kwa kuambukiza America ya kusini (vampire bats).

Hiyo vocalization ndo kubweka? au labda wengine hatujui maana ya kubweka, ungejua maana na impact ya laryngospasm wala tusingekuwa tunapishana hapa, so mfano wenye asthma wanabweka? au kokoroma ni sawa na kubweka?
 
Ni hatari wanasema mbwa mwenye kichaa akimuuma mtu kama hajatibiwa mapema atabweka na kutikisa mkia
Kichaa cha mbwa hakina tiba, ukizembea usipojipa huduma ya kwanza mapema huwezi kupona, osha jeraha na maji mengi na sabuni then nenda hospital pale unapoumwa na mbwa sababu sio kila mbwa anapokung'ata anakichaa lakini kwa watu wa kawaida ni ngumu kuelewa mbwa mwenye kichaa.

Virusi huenda kwenye tezi za mate nadhani siku mbili kabla ya signs kujionesha so hapo anaweza kuambukiza ka hajachanjwa.
 
Acha zako bhana, kichaa cha mbwa sababu kwa huku kwetu kwa sehemu kubwa kinasambazwa na mbwa, mbwa anakitoa kwa wild animals, ukikuta paka yuko na rabies katoa kwa mbwa, hao mapopo mnaowasena hapa wala Africa hawapo na hao ndo wanaoongoza Kwa kuambukiza America ya kusini (vampire bats).

Hiyo vocalization ndo kubweka? au labda wengine hatujui maana ya kubweka, ungejua maana na impact ya laryngospasm wala tusingekuwa tunapishana hapa, so mfano wenye asthma wanabweka? au kokoroma ni sawa na kubweka?
Maelezo yako ya juu ni kama unajijibu mwenyewe.
Njoo mpaka hapo mwisho, unataka kutuambia mgonjwa wa asthma anapata laryngospasm?
 
Kichaa cha mbwa hakina tiba, ukizembea usipojipa huduma ya kwanza mapema huwezi kupona, osha jeraha na maji mengi na sabuni then nenda hospital pale unapoumwa na mbwa sababu sio kila mbwa anapokung'ata anakichaa lakini kwa watu wa kawaida ni ngumu kuelewa mbwa mwenye kichaa.

Virusi huenda kwenye tezi za mate nadhani siku mbili kabla ya signs kujionesha so hapo anaweza kuambukiza ka hajachanjwa.
Kijana una elimu lakini unaitumia kama silaha ku prove others wrong.. Huwezi kuwa sawa muda wote.
 
Acha zako bhana, kichaa cha mbwa sababu kwa huku kwetu kwa sehemu kubwa kinasambazwa na mbwa, mbwa anakitoa kwa wild animals, ukikuta paka yuko na rabies katoa kwa mbwa, hao mapopo mnaowasena hapa wala Africa hawapo na hao ndo wanaoongoza Kwa kuambukiza America ya kusini (vampire bats).

Hiyo vocalization ndo kubweka? au labda wengine hatujui maana ya kubweka, ungejua maana na impact ya laryngospasm wala tusingekuwa tunapishana hapa, so mfano wenye asthma wanabweka? au kokoroma ni sawa na kubweka?
Unaweza ukawa sahihi lakini pia hao wanaosema anabweka kama mbwa wakawa sahihi pia, tofauti yenu ni moja tu wewe unawaza mtu anakuwa anabweka kama mbwa kabisaaa huku wale wanaosema anabweka kama mbwa wakimaanisha anakuwa ana dalili za kwikwi si kwikwi ili mradi (waswahili wakaita anabweka hasa ukizingatia tayari ugonjwa inaitwa kichaa cha mbwa)
 
Rabies inatabika ila ikishakuwa chronic ni changamoto sana.
Rabbies ikishakuwa ugonjwa haina tiba mkuu; na ni nadra sana kupona. Ni muhimu sana ukiumwa na mbwa au mnyama ye yote ambaye huna uhakika kama ana chanjo kuwahi hospitalini ili kupigwa sindano kuua vijidudu kabla havijaenea na kufika kwenye ubongo. Ukichelewa ni kuRIP tu hakuna njia nyingine.

Mpwa wangu mmoja aliumwa na kimbwa cha jirani akafanya uzembe kwenda hospitali. Alipoumwa palianza kuwashwa akaanza kujikuna non stop; na baada ya siku chache tu ikawa full blown rabbies case tena patashika nguo kuchanika mtu kawa kichaa kabisa wa kushikilia. Hospitalini msaada wao ikawa ni kumpiga sindano za kulala. Alikufa kifo cha shida kweli!

Ukiumwa na mbwa ni muhimu sana kuwahi hospitalini aisee!

Screenshot_20240315_193317_Samsung Internet.jpg
 

View: https://youtu.be/XMvIQexojWo?si=KqoV8KWbaeZDTvA5

Rabies ni virus inayosababishwa mara nyingi na kung'atwa na mbwa, popo, mbwa mwitu, etc

Ndio maana wanashauri mbwa kupewa chanjo mara kwa mara kuziua madhara ya kuwa infected na virus tofauti.

Moja ya madhara ya rabies ni mgonjwa kuwa na hofu ya kunywa maji. Hii ni kwa sababu Rabies huathiri sehemu za ubongo ambazo hudhibiti kuzungumza, kumeza, na kupumua.

Inabadilisha mchakato wa uzalishaji wa mate na husababisha spasms za misuli chungu ambazo zinakatisha tamaa kumeza. Virusi hii hustawi katika mate. Kumeza hupunguza kuenea.

Kwa hiyo, mara moja hufanya kazi ya kumfanya mwathirika wake kuzalisha mate zaidi na kueneza mate hayo kwenye mazingira yake badala ya kumeza.

Rabies inatabika ila ikishakuwa chronic ni changamoto sana.

Ndio maana ukishang'twa na mbwa au popo kimbilia hospitali.

TAKE CARE.

Mtu aking'atwa na mbwa mwenye rabies akawahi hospital ataweza kuponaM
 
Back
Top Bottom