Duh! Kuna wanawake mnatia aibu jamani

Duh! Kuna wanawake mnatia aibu jamani

j wa nmb

Senior Member
Joined
Jul 28, 2020
Posts
174
Reaction score
419
Baadhi ya wanawake/kinadada ni janga. Unakutana na mwanamke kwenye daladala sjui ni wigi linatoa uvundo ama ni yeye mwenyewe basi ni karaha tupu.

Ukimuangalia usoni make up ya maana! Mkononi bonge la msimu hayo marashi ya kienyeji harufu yake inavyotoka hapo sasa.

Jamani hayo mawigi kama yanafulika yafueni basi kama kubadilisha imekuwa ngumu, leo almanusra nitapike kwenye daladala.

Wapo watakao sema ninunue Gari langu, hayo ni majaliwa,ila ukweli lazma usemwe, kinadada Usafi unawashinda aisee.
 
Kwakweli sijawahi kusikia nisiwe mnafiki.

Unakuta mwanume anakwambia demu fulani ananuka chupi,unaanza kuwaza huyu jamaa pua yake ikoje,mbona mimi naskia kawaida tu,either harufu ya jasho ama perfume mbaya.

Mkuu utueleze pua zako zinafuata nini kwenye vichwa wa watu[emoji1][emoji1]
 
Kwakweli sijawahi kusikia nisiwe mnafiki.

Unakuta mwanume anakwambia demu fulani ananuka chupi,unaanza kuwaza huyu jamaa pua yake ikoje,mbona mimi naskia kawaida tu,either harufu ya jasho ama perfume mbaya.

Mkuu utueleze pua zako zinafuata nini kwenye vichwa wa watu[emoji1][emoji1]
Boss kama upo dsm na mizunguko yako unatumia usafiri wa Umma usijali siku utakutana na hizo pafum za Buza.
 
Back
Top Bottom