Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] pole mkuuBaadhi ya wanawake/kinadada ni janga. Unakutana na mwanamke kwenye daladala sjui ni wigi linatoa uvundo ama ni yeye mwenyewe basi ni karaha tupu.
Ukimuangalia usoni make up ya maana! Mkononi bonge la msimu hayo marashi ya kienyeji harufu yake inavyotoka hapo sasa.
Jamani hayo mawigi kama yanafulika yafueni basi kama kubadilisha imekuwa ngumu, leo almanusra nitapike kwenye daladala.
Wapo watakao sema ninunue Gari langu, hayo ni majaliwa,ila ukweli lazma usemwe, kinadada Usafi unawashinda aisee.
@cariha: Wewe ni mtu wa mapambano..mpenda ligi ..mpenda kubattle. Lazima upinge, ubishane na uone Kama unaonewa. Yaaani playing a Victim BADILIKA...Tena kwa manufaa yako na yakizazi kijacho.Kwanini Mambo ya wanawake yakuumize huna Mambo yako ya kufanya?
Hahaaa that's me ndio maana nikajiita hivi na sikuwa wewe, pia JF ni jukwa huru na kila mtu na opinion zake ka zilizo zako naziheshimu, pia si play victim naandika kina chofuraisha nafsi yangu na sihitaji kuplay victim au nionekane mzuri never on my mind. Mimi sibadiliki naishi nitakavyo even if the whole world would be against me I don't care@cariha: Wewe ni mtu wa mapambano..mpenda ligi ..mpenda kubattle. Lazima upinge, ubishane na uone Kama unaonewa. Yaaani playing a Victim BADILIKA...Tena kwa manufaa yako na yakizazi kijacho.
All the best.Hahaaa that's me ndio maana nikajiita hivi na sikuwa wewe, pia JF ni jukwa huru na kila mtu na opinion zake ka zilizo zako naziheshimu, pia si play victim naandika kina chofuraisha nafsi yangu na sihitaji kuplay victim au nionekane mzuri never on my mind. Mimi sibadiliki naishi nitakavyo even if the whole world would be against me I don't care
Baadhi ya wanawake/kinadada ni janga. Unakutana na mwanamke kwenye daladala sjui ni wigi linatoa uvundo ama ni yeye mwenyewe basi ni karaha tupu.
Ukimuangalia usoni make up ya maana! Mkononi bonge la msimu hayo marashi ya kienyeji harufu yake inavyotoka hapo sasa.
Jamani hayo mawigi kama yanafulika yafueni basi kama kubadilisha imekuwa ngumu, leo almanusra nitapike kwenye daladala.
Wapo watakao sema ninunue Gari langu, hayo ni majaliwa,ila ukweli lazma usemwe, kinadada Usafi unawashinda aisee.
Hayo mawigi ni shida tupu.Itabidi Wanaume tukae kikao tujadili hili suala.Baadhi ya wanawake/kinadada ni janga. Unakutana na mwanamke kwenye daladala sjui ni wigi linatoa uvundo ama ni yeye mwenyewe basi ni karaha tupu.
Ukimuangalia usoni make up ya maana! Mkononi bonge la msimu hayo marashi ya kienyeji harufu yake inavyotoka hapo sasa.
Jamani hayo mawigi kama yanafulika yafueni basi kama kubadilisha imekuwa ngumu, leo almanusra nitapike kwenye daladala.
Wapo watakao sema ninunue Gari langu, hayo ni majaliwa,ila ukweli lazma usemwe, kinadada Usafi unawashinda aisee.
Umeumia sana,pole mamaKwanini Mambo ya wanawake yakuumize huna Mambo yako ya kufanya?
Hujaelewa,amesema mawigi wanavaa mpk yananuka na hii kweli, last year nilikuwa evening walk na wife,tukasimamishwa na mdada alipotea njia tumuelekeze,amevaa wigi zuri kwa muonekano..lkn alivyoondoka alituachia harufu Kali mpk nkatukana kimoyomoyo( Ila nkakausha).. Baada ya 2 mins,wife akasema nusura atapike sabab ya wigi lake...Bro mengine kausha,ata ww kunawaliowahi kukuskia unanuka Ila wakakausha,na km bado ipo siku utanuka...
Usimseme Mwenzio vibaya ikiwa humjui kiundani...
Kwa hili uliloleta, linaeleza tabia zako nyingi sana
Sijaumia Ila dume zima badala litafte maisha linahangaika na wanawake siukichaa huoUmeumia sana,pole mama
Acheni kuvaa nywele za watu.Bora umwambie, hawa sijui ni wanaume wenye shida gani?
Siwezi umizwa na wapumbavu wa mtandaoni wewe utakuwa mgeni humu JF nini? Yanijinga na mpumbavu aniumize over my deadbodyUmeumia sana, Unajishaua tu.
Sindano imepenya penyewe. Katikati ya ikweta