cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Siachi kuvaa nitazidi kuvaaAcheni kuvaa nywele za watu.
Ukirekebishwa rekebishika basi, ubishi tuuu umekua kenge?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siachi kuvaa nitazidi kuvaaAcheni kuvaa nywele za watu.
Ukirekebishwa rekebishika basi, ubishi tuuu umekua kenge?
Wakivaa wanakuwa Kama mbuzi meeee[emoji23][emoji23]Baadhi ya wanawake/kinadada ni janga. Unakutana na mwanamke kwenye daladala sjui ni wigi linatoa uvundo ama ni yeye mwenyewe basi ni karaha tupu.
Ukimuangalia usoni make up ya maana! Mkononi bonge la msimu hayo marashi ya kienyeji harufu yake inavyotoka hapo sasa.
Jamani hayo mawigi kama yanafulika yafueni basi kama kubadilisha imekuwa ngumu, leo almanusra nitapike kwenye daladala.
Wapo watakao sema ninunue Gari langu, hayo ni majaliwa,ila ukweli lazma usemwe, kinadada Usafi unawashinda aisee.
Duh,kumbe na wewe mkuu unavaaga nywele za wafu?Siachi kuvaa nitazidi kuvaa
Ndio navaa na ninazipenda kweliDuh,kumbe na wewe mkuu unavaaga nywele za wafu?
[emoji23][emoji23][emoji23]Siwezi umizwa na wapumbavu wa mtandaoni wewe utakuwa mgeni humu JF nini? Yanijinga na mpumbavu aniumize over my deadbody
Unakuta suruali zake na tight zote zimetoboka kwa kusuguliwa na mapajaBaadhi ya wanawake/kinadada ni janga. Unakutana na mwanamke kwenye daladala sjui ni wigi linatoa uvundo ama ni yeye mwenyewe basi ni karaha tupu.
Ukimuangalia usoni make up ya maana! Mkononi bonge la msimu hayo marashi ya kienyeji harufu yake inavyotoka hapo sasa.
Jamani hayo mawigi kama yanafulika yafueni basi kama kubadilisha imekuwa ngumu, leo almanusra nitapike kwenye daladala.
Wapo watakao sema ninunue Gari langu, hayo ni majaliwa,ila ukweli lazma usemwe, kinadada Usafi unawashinda aisee.
Baadhi ya wanawake/kinadada ni janga. Unakutana na mwanamke kwenye daladala sjui ni wigi linatoa uvundo ama ni yeye mwenyewe basi ni karaha tupu.
Ukimuangalia usoni make up ya maana! Mkononi bonge la msimu hayo marashi ya kienyeji harufu yake inavyotoka hapo sasa.
Jamani hayo mawigi kama yanafulika yafueni basi kama kubadilisha imekuwa ngumu, leo almanusra nitapike kwenye daladala.
Wapo watakao sema ninunue Gari langu, hayo ni majaliwa,ila ukweli lazma usemwe, kinadada Usafi unawashinda aisee.