NguoYaSikuKuu
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 681
- 1,020
Nimemcheki Jamaa katika Instagram na katika Sites zingine. Nimefurahi kwa sababu ni moja ya Ma-MC wa HipHop ninaowakubali zaidi, amezidi kumaintain U-hardcore licha ya kuwa soko la sasa la marekani halikubali.
Vijana wa bongo tukifikisha 40,aisee ni noumaa. Kama vile ndo tumeshazeeka kabisa. Ni machache tu, maana nisije akaandika gazeti.
HBDAY NAS ESCOBAR.
*Vijana tuache Ngono Zembe na Pombe Zembe.
Vijana wa bongo tukifikisha 40,aisee ni noumaa. Kama vile ndo tumeshazeeka kabisa. Ni machache tu, maana nisije akaandika gazeti.
HBDAY NAS ESCOBAR.
*Vijana tuache Ngono Zembe na Pombe Zembe.