Duh! Norway ambayo inaongoza kwenye kusaidia Tanzania kwa misaada yawapigia makelele

Wanaohangaika na hali za wengine kati ya ninyi outsiders na Tanzanians ni nani sasa, sababu sijaelewa thank you.
 
Karibuni "SHENZISTAN"
 
Wanaohangaika na hali za wengine kati ya ninyi outsiders na Tanzanians ni nani sasa, sababu sijaelewa thank you.
Mfano mzuri ni wewe, ambaye huwa anakesha kwenye jukwaa hili 24/7, ukisifia 'mwanademokrasia' wenu Jiwe.
 
Mfano mzuri ni wewe, ambaye huwa anakesha kwenye jukwaa hili 24/7, ukisifia 'mwanademokrasia' wenu Jiwe.

Mbona wewe unakesha humu kumsifia Msapere mwenzako Uhuru?
Nyani haoni kundule.
 
Midomo si yao...si tumeamua kwenda na magu a.k.a mjomba pombe

Yaani huyu mzee ni kiboko anaminya makende ya wazungu akiwa dar,wazungu wanatoa mapovu tuu huko kwao
 
Kwa hiyo kama mtu anakupa msaada ndio anapata haki ya kukupangia namna ya kuishi na familia yako?? Huu usenge huu bora tufe njaa lakini sio kupangiwapangiwa
 
Mbona wewe unakesha humu kumsifia Msapere mwenzako Uhuru?
Nyani haoni kundule.
Boss, jina la jukwaa hili ni Kenyan News and Politics. Mkileta propaganda zenu humu huwa mnasifia hadi wanakoma, leo mnakashifiwa, tulieni sindano iwaingie.
 
Sio kw machungu haya...we uko chama gani mkuu...manake likija swala kuipamba tanzania huaga huachi nyuma...likija la kuminywa kidemokrasia unakuja juu kwel...we kwel ndo mtanzania
 
Mlitengenezewa hili jukwaa maalum kwa mambo ya kenya, ila kwa sababu nyie ni wapumbavu by nature na wachokozi by nature mkaaanza kupost habari za Tz
Boss, jina la jukwaa hili ni Kenyan News and Politics. Mkileta propaganda zenu humu huwa mnasifia hadi wanakoma, leo mnakashifiwa, tulieni sindano iwaingie.
 
Boss, jina la jukwaa hili ni Kenyan News and Politics. Mkileta propaganda zenu humu huwa mnasifia hadi wanakoma, leo mnakashifiwa, tulieni sindano iwaingie.

Kwa hiyo wewe ndiye pekee anayeruhusiwa kusifia tu? 😳 😳



 
Nimeshangaa.
Norway inaongoza kwa kutoa misaada Tanzania!!!?
Check out the heading.
 
Upumbavu mtupu freedom of press my foot, wachochezi wote wapotezwe kabisa, watu wanaolipwa ili kuchafua nchi mimi naunga kabisa mkono watiwe korokoroni, huyu mburukenge anatumika na mabeberu kumkwamisha JPM na ushahidi upo.
Tuanze kukupoteza familia na ukoo wako halafu tuendelee kupotezana halafu tuone mwisho wake.
 
Mfano mzuri ni wewe, ambaye huwa anakesha kwenye jukwaa hili 24/7, ukisifia 'mwanademokrasia' wenu Jiwe.
Wakati nipo hapa 24/7 wewe unanionaje kama sio tunakesha wote? πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… Wewe kwani nimekunyima kumsifia Uhuru?
 
Nimeshangaa.
Norway inaongoza kwa kutoa misaada Tanzania!!!?
Check out the heading.
Unajua toka JPM alete sheria mpya ya madini ikiwemo mafuta na gas asilia hawa statoil ambao wamechimba visima vingi kule Mtwara wameikasirikia sana serikali ya JPM

Kumbuka pia mkataba wa NLGP ulikuwa tayari umesainiwa kama ule wa bandari ya Bagamoyo, yaani ulikuwa unasubiri tu utekelezaji

Sasa JPM kaingia madarakani akaanza nao akaufuta wote na kutaka pande zote zirudi mezani upya, mpaka JPM akafukuza wahusika kule TPDC na wizarani, kavuruga vifungu vyote vya kinyonyaji

Wakamuona JPM kichaa, wakazidi kuleta ujuaji kwenye mazungmzo wakiwa na kiburi kwamba hata kama JPM atabana kwenye NLGP basi watakula kwenye higher prices wakati wa kuihudumia tanesco gas ya kuzalishia umeme (kumbuka zaidi ya 65% ya umeme Tanzania unazalishwa na natural gas)

JPM akawaambia ninyi wapumbavu hamnijui, kudadeq JPM akaja na Rufiji Hydropower Project sasa hapo ndio wanamchukia JPM vibaya, wanajua dam ikikamilika serikali itakuwa na umeme wa kutosha mara mbili ya unaozalishwa na gas hivyo hata serikali ikiamua kuzima mitambo ya gas bado umeme utakua wa kutosha tena wa almost bure. wao ndio waliwa wakifuel yale makelele ya uharibifu wa mazingira huko Selous pia.

Serikali ya Norway ikatuma mpaka mawaziri wa ngazi za juu serikalini waje kumbembeleza JPM kuhusu huu mradi lakini JPM kakomaa kama maslahi mapana ya Mtanzania hayatazingatiwa hana haja ya kuzungumza na yeyote, mawaziri wao walivyo fika wakaishia kuonana na Kabudi πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Norway wameikasirikia serikali mpaka wakazuia Watanzania kusource visa na permits za kwenda Norway kupitia ubalozi wao wa Dar eti wanaotaka waende Nairobi, hizi zote ni fitna tu za a dying horse

JPM hawamuwezi na watazidi kunyooshwa. πŸ΄πŸ˜…πŸ˜…
 
Watz bana, eti hatuwafagilii mabeberu, na si hela zao mnazichukua? Ni sawa na mchuuza ngono aseme kwamba hawafagilii wanaume. [emoji1]
 
Upumbavu mtupu freedom of press my foot, wachochezi wote wapotezwe kabisa, watu wanaolipwa ili kuchafua nchi mimi naunga kabisa mkono watiwe korokoroni, huyu mburukenge anatumika na mabeberu kumkwamisha JPM na ushahidi upo.
We li Ccm lisukuma akili huna kabisa
 
Wakati nipo hapa 24/7 wewe unanionaje kama sio tunakesha wote?
Simple, kila mara nikiingia humu huwa napata umejaza server na povu lingine brand new, kila siku ya wiki. Naona wafadhili wenu wanawashangaa pia kwa kitendo chenu cha kuwakamata wanahabari kisha mnawalimbikizia kesi za ajabu ajabu, kama 'organised crime', 'money laundering' na 'tax evasion'. Who does that??? [emoji38]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…