Duh! Norway ambayo inaongoza kwenye kusaidia Tanzania kwa misaada yawapigia makelele

Duh! Norway ambayo inaongoza kwenye kusaidia Tanzania kwa misaada yawapigia makelele

Wanaohangaika na hali za wengine kati ya ninyi outsiders na Tanzanians ni nani sasa, sababu sijaelewa thank you.
Hypocrite mkubwa ni wewe kila siku unaweka pua lako chafu linanuka kwa mambo ya ndani Kenya yasiokuhusu.
 
Unajua toka JPM alete sheria mpya ya madini ikiwemo mafuta na gas asilia hawa statoil ambao wamechimba visima vingi kule Mtwara wameikasirikia sana serikali ya JPM

Kumbuka pia mkataba wa NLGP ulikuwa tayari umesainiwa kama ule wa bandari ya Bagamoyo, yaani ulikuwa unasubiri tu utekelezaji

Sasa JPM kaingia madarakani akaanza nao akaufuta wote na kutaka pande zote zirudi mezani upya, mpaka JPM akafukuza wahusika kule TPDC na wizarani, kavuruga vifungu vyote vya kinyonyaji

Wakamuona JPM kichaa, wakazidi kuleta ujuaji kwenye mazungmzo wakiwa na kiburi kwamba hata kama JPM atabana kwenye NLGP basi watakula kwenye higher prices wakati wa kuihudumia tanesco gas ya kuzalishia umeme (kumbuka zaidi ya 65% ya umeme Tanzania unazalishwa na natural gas)

JPM akawaambia ninyi wapumbavu hamnijui, kudadeq JPM akaja na Rufiji Hydropower Project sasa hapo ndio wanamchukia JPM vibaya, wanajua dam ikikamilika serikali itakuwa na umeme wa kutosha mara mbili ya unaozalishwa na gas hivyo hata serikali ikiamua kuzima mitambo ya gas bado umeme utakua wa kutosha tena wa almost bure. wao ndio waliwa wakifuel yale makelele ya uharibifu wa mazingira huko Selous pia.

Serikali ya Norway ikatuma mpaka mawaziri wa ngazi za juu serikalini waje kumbembeleza JPM kuhusu huu mradi lakini JPM kakomaa kama maslahi mapana ya Mtanzania hayatazingatiwa hana haja ya kuzungumza na yeyote, mawaziri wao walivyo fika wakaishia kuonana na Kabudi 😅😅😅

Norway wameikasirikia serikali mpaka wakazuia Watanzania kusource visa na permits za kwenda Norway kupitia ubalozi wao wa Dar eti wanaotaka waende Nairobi, hizi zote ni fitna tu za a dying horse

JPM hawamuwezi na watazidi kunyooshwa. 🐴😅😅

Bro, now can start connecting and linking the dots. I was trusting the Norwegians, but this issue and the other one I came across with, they make me to look at them very carefully.
 
Safi kabisa REDEEMER kwa mchango wako makini,kwa kweli Wapinzani watazoza sana ila cc tutaenda tu JPM ndiye chaguo letu
Yaani 2020 itakuwa hivi;CHAGUA MAGUFULI KAZI IENDELEE
 
Simple, kila mara nikiingia humu huwa napata umejaza server na povu lingine brand new, kila siku ya wiki. Naona wafadhili wenu wanawashangaa pia kwa kitendo chenu cha kuwakamata wanahabari kisha mnawalimbikizia kesi za ajabu ajabu, kama 'organised crime', 'money laundering' na 'tax evasion'. Who does that??? [emoji38]


 
Bro, now can start connecting and linking the dots. I was trusting the Norwegians, but this issue and the other one I came across with, they make me to look at them very carefully.
Ni kweli kabisa nchi za Nordic and especially the three Scandinavians zilikuwa na uhusiano mzuri sana na Baba wa Taifa na hata siasa zao hazikuwa za kibepari sana, zilikuwa zinaendana sana na ujamaa ndio maana zilikua na mahusiano mazuri sana na Tanzania ila saivi yote mabepari tu hawana tofauti na Wamarekani kabisa.
 
Ni kweli kabisa nchi za Nordic and especially the three Scandinavians zilikuwa na uhusiano mzuri sana na Baba wa Taifa na hata siasa zao hazikuwa za kibepari sana, zilikuwa zinaendana sana na ujamaa ndio maana zilikua na mahusiano mazuri sana na Tanzania ila saivi yote mabepari tu hawana tofauti na Wamarekani kabisa.

Kuna kampuni yao fulani ilipata kadhia miaka iliyopita. Nadhani haipo tena ilifutwa.
 
Kuna kampuni yao fulani ilipata kadhia miaka iliyopita. Nadhani haipo tena ilifutwa.
Utakua unaizungumzia hii statoil inaitwa saivi Equinor baada ya kuibadili jina au kama sio ni ile British Gas iliyoiuzia Shell ya Dutch, sababu nayo hii wamekubali mziki wa JPM wajerumani hawa,

SSi unakumbuka na wenyewe walitaka kuiwekea vikwazo Tanzania kuhusu ujenzi wa Rufiji kule mpaka wakawa wanaijadili Bungeni kwao lakini wapi, mpaka wakamtuma waziri wa kimataifa aje kuonana na JPM 😅😅😅 na wenyewe walipigwa chenga ya mwili, JPM akaenda zake Moro kupiga show na wananchi akamuachia Mahiga

UUnajua waziri huko kwao ni mtu mkubwa sana na hasa huyu waziri wa mambo ya nje protocolly anatakiwa hata aonane na Rais lakini alishuka Dar siku ya pili akaenda Arusha, akarudi Dar JPM yeye bado yupo Moro ikabidi asepe 😅😅😅

AAkarudi Germany kwa mama makeli kumuambia kule mambo magumu mama makeli ikabidi amvutie JPM waya kwamba tunaomba basi hiyo gas isitudodee hapo wacha tujenge kiwanda kikubwa cha mbolea Africa

JJPM akasema hayo ndio maneno, lakini ni baada ya kufanya figisu kibao kukwamisha mradi wa umeme Rufiji ili tu kwa nia zao ovu.
 
Utakua unaizungumzia hii statoil inaitwa saivi Equinor baada ya kuibadili jina au kama sio ni ile British Gas iliyoiuzia Shell ya Dutch, sababu nayo hii wamekubali mziki wa JPM wajerumani hawa,

SSi unakumbuka na wenyewe walitaka kuiwekea vikwazo Tanzania kuhusu ujenzi wa Rufiji kule mpaka wakawa wanaijadili Bungeni kwao lakini wapi, mpaka wakamtuma waziri wa kimataifa aje kuonana na JPM 😅😅😅 na wenyewe walipigwa chenga ya mwili, JPM akaenda zake Moro kupiga show na wananchi akamuachia Mahiga

UUnajua waziri huko kwao ni mtu mkubwa sana na hasa huyu waziri wa mambo ya nje protocolly anatakiwa hata aonane na Rais lakini alishuka Dar siku ya pili akaenda Arusha, akarudi Dar JPM yeye bado yupo Moro ikabidi asepe 😅😅😅

AAkarudi Germany kwa mama makeli kumuambia kule mambo magumu mama makeli ikabidi amvutie JPM waya kwamba tunaomba basi hiyo gas isitudodee hapo wacha tujenge kiwanda kikubwa cha mbolea Africa

JJPM akasema hayo ndio maneno, lakini ni baada ya kufanya figisu kibao kukwamisha mradi wa umeme Rufiji ili tu kwa nia zao ovu.

Duu kweli JPM atakumbukwa kwa mengi kuhusu kuiokoa nchi.
It's good to have a true son of Afrika in days of our life.
 
Kazi ya Zitto Kabwe kuchongea Taifa kwa mabeberu imeanza kuzaa matunda
Acha kutafutana uchawi ndugu yangu. Hao wanaoitwa mabeberu, wote wanazo ofisi za ubalozi hapa nchini na wanajua vitu vingi kuhusu nchi yetu kuliko Watanzania wengi, ikiwamo wewe.

Vv
 
Hivi nyie watu mnaishi sayari gani? Kwani watu hawaoni wao wenyewe kinachofanyika hadi Zitto awaambie? Are you really that dumb?
Hao jamaa wanaimshutumu Zitto ni wapuuzi sana, hawataki kushirikisha akili zao kwenye mambo yanayohusu nchi yao, ni kama vuvuzela ambalo halina amri ya kuchagua wimbo bali mpulizaji.

Vv
 
Katika hili Magufuli anapaswa kusikiliza, kwakweli upande huu Magufuli anaonyesha mapungufu makubwa ya kiuongozi. Hongereni sana Norway, UK na USA kwa kuliona hilo.
Fake news! Baada ya muda mtanyooka tu. Hizi habari kila mara mnaleta lakini bado tunapiga kazi tu. Hapa kazi tu.
 
Acha kutafutana uchawi ndugu yangu. Hao wanaoitwa mabeberu, wote wanazo ofisi za ubalozi hapa nchini na wanajua vitu vingi kuhusu nchi yetu kuliko Watanzania wengi, ikiwamo wewe.

Vv
Haya subirini 2020 watapiga kura hao wazungu.
 
Duu kweli JPM atakumbukwa kwa mengi kuhusu kuiokoa nchi.
It's good to have a true son of Afrika in days of our life.
Sure, yule mzee anafight battles nyingi sana ila mapoyoyo hawajui tu, rasilimali zetu nyingi zilizokua tayari mikononi mwa haya mabeberu kwa favor tu ya 10% viongozi wetu walivyozuzuka nayo JPM karudisha almost all of them

Mchuchuma na Liganga nayo (pale kuna utajiri wa Chuma na Coal ambayo inatosha kuhudumia matumizi yote ya dunia nzima kwa mwaka 1) na yenyewe hii ilikuwa tayari imeshapigwa kata funua lakini JPM kafight kichizi na yenyewe imerudi.

HALAFU movements zote hizi ni viongozi wakubwa wa kiserikali ndio wanaengineer, unaona mama makel anampiga simu magufuli kuhusu kiwanda cha mbolea lakini wenyewe wanatuambia haipaswi serikali kujihusisha na biashara, kumbe wana secret agenda

Barrick na Acacia ni mali ya Bush ile na kina queen Elizabeth wote wezi, kwa hiyo hapo unaona ni namna gani JPM anapigana na watu wakubwa duniani ndio maana utasikia anasema mniombee ooh nimejitoa sadaka ooh mambo ya Libya etc mzee anajua kipi anafanya

Aongezewe tu ulinzi
 
Sure, yule mzee anafight battles nyingi sana ila mapoyoyo hawajui tu, rasilimali zetu nyingi zilizokua tayari mikononi mwa haya mabeberu kwa favor tu ya 10% viongozi wetu walivyozuzuka nayo JPM karudisha almost all of them

Mchuchuma na Liganga nayo (pale kuna utajiri wa Chuma na Coal ambayo inatosha kuhudumia matumizi yote ya dunia nzima kwa mwaka 1) na yenyewe hii ilikuwa tayari imeshapigwa kata funua lakini JPM kafight kichizi na yenyewe imerudi.

HALAFU movements zote hizi ni viongozi wakubwa wa kiserikali ndio wanaengineer, unaona mama makel anampiga simu magufuli kuhusu kiwanda cha mbolea lakini wenyewe wanatuambia haipaswi serikali kujihusisha na biashara, kumbe wana secret agenda

Barrick na Acacia ni mali ya Bush ile na kina queen Elizabeth wote wezi, kwa hiyo hapo unaona ni namna gani JPM anapigana na watu wakubwa duniani ndio maana utasikia anasema mniombee ooh nimejitoa sadaka ooh mambo ya Libya etc mzee anajua kipi anafanya

Aongezewe tu ulinzi
Hivi mgodi wa Kiwira ni wa nani boss?
 
Hivi mgodi wa Kiwira ni wa nani boss?
Kiwira na Kabulo inamilikiwa na serikali kupitia Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) ulifikiri ni wa Ben? Tena saivi unazalisha ile mbaya.
 
Back
Top Bottom