Mfiaukweli
JF-Expert Member
- Aug 30, 2018
- 5,636
- 8,777
Kiwira na Kabulo inamilikiwa na serikali kupitia Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) ulifikiri ni wa Ben? Tena saivi unazalisha ile mbaya.
Sure, yule mzee anafight battles nyingi sana ila mapoyoyo hawajui tu, rasilimali zetu nyingi zilizokua tayari mikononi mwa haya mabeberu kwa favor tu ya 10% viongozi wetu walivyozuzuka nayo JPM karudisha almost all of them
Mchuchuma na Liganga nayo (pale kuna utajiri wa Chuma na Coal ambayo inatosha kuhudumia matumizi yote ya dunia nzima kwa mwaka 1) na yenyewe hii ilikuwa tayari imeshapigwa kata funua lakini JPM kafight kichizi na yenyewe imerudi.
HALAFU movements zote hizi ni viongozi wakubwa wa kiserikali ndio wanaengineer, unaona mama makel anampiga simu magufuli kuhusu kiwanda cha mbolea lakini wenyewe wanatuambia haipaswi serikali kujihusisha na biashara, kumbe wana secret agenda
Barrick na Acacia ni mali ya Bush ile na kina queen Elizabeth wote wezi, kwa hiyo hapo unaona ni namna gani JPM anapigana na watu wakubwa duniani ndio maana utasikia anasema mniombee ooh nimejitoa sadaka ooh mambo ya Libya etc mzee anajua kipi anafanya
Aongezewe tu ulinzi
Jambo ni kweli upuuzi wake uko wapiWanafaidi nini lakini ?
Ni ujinga tu
Zitto amekuwa mpuuzi sana
Hivi mgodi wa Kiwira ni wa nani boss?
Kiwira na Kabulo inamilikiwa na serikali kupitia Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) ulifikiri ni wa Ben? Tena saivi unazalisha ile mbaya.
Jamaa anajifanya haelewi ni mali ya nani ile.
Ukweli ni UPI?,( ambatanisha ushahidi Tafadhali)Jamaa anajifanya haelewi ni mali ya nani ile.
Ukweli ni UPI?,( ambatanisha ushahidi Tafadhali)
Wowote ule wenye nguvu ya kuthibitisha ukweli, otherwise itaonekana unazungumza vitu vya uzushi.Ushahidi upi wa Brela au?
Yeye ameweka ushahidi gani kuthibitisha ni mali ya serikali?Wowote ule wenye nguvu ya kuthibitisha ukweli, otherwise itaonekana unazungumza vitu vya uzushi.
Ulimuomba akupe ushahidi?, Mimi nimekuomba wewe.Yeye ameweka ushahidi gani kuthibitisha ni mali ya serikali?
Hebu Muombe na yeye akupe ushahidi kwamba ni ya serikali.Ulimuomba akupe ushahidi?, Mimi nimekuomba wewe.
Aminutumie hii hapa.Hebu Muombe na yeye akupe ushahidi kwamba ni ya serikali.
Ninasubiri ushahidi wako, ili nilinganishe na huo wakwake alionitumia.Hebu Muombe na yeye akupe ushahidi kwamba ni ya serikali.
Hahahaha, ngoja tumpe muda, labda ameenda kutoa " photo copy ili anitumie.Ashakimbia [emoji23][emoji23][emoji23]
Hebu Muombe na yeye akupe ushahidi kwamba ni ya serikali.