Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 15,335
- 29,114
Daah hatar sana hyo mkuu,,,kumbe ndo ipo hivo!??
Ingawa sijasoma ila ni noma sana mzee daahh
Sent using Jamii Forums mobile app
Wacha ucheshi mkuu, hujasoma hiyo noma umeipata wapi..?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah hatar sana hyo mkuu,,,kumbe ndo ipo hivo!??
Ingawa sijasoma ila ni noma sana mzee daahh
Sent using Jamii Forums mobile app
Mlilipwa mabillioni ya Dollar na Barrick? 😁Katafute akili fupi wenzako maana ndio size yako.
Kawaulize wenzako wenye uwezo mdogo wa kufikiri.Mlilipwa mabillioni ya Dollar na Barrick? 😁
Awamu iliyopita, haha! 😀 Napenda unavoruka ruka bila formular, jombaa endelea kusifia sifia hadi kwenye vitu vya kipumbavu, bora buku saba zipo mfukoni. [emoji1]Hivi nimeandika awamu ya mwisho au nimeandika "huo ujinga mwisho awamu iliyopita" ?
Acha kukurupuka ovyo soma na uelewe.
Sijaruka chochote wewe ndio hujui kusoma na kuelewa pia uwezo wako wa kufikiri ni mdogo,Awamu iliyopita, haha! 😀 Napenda unavoruka ruka bila formular, jombaa endelea kusifia sifia hadi kwenye vitu vya kipumbavu, bora buku saba zipo mfukoni. [emoji1]
Ni wachache sana wanaolijua hilo.Ukiruhusu wakunyonye watakuweka namba moja tena first class kabisa,
Ila ukibadilisha sheria zako ili zifaidishe nchi husika tatizo huanzia hapo [emoji23][emoji23][emoji23]
Nasema hivi JPM kanyaga twende lazima wawe na adabu na rasilimali zetu... Huo ujinga mwisho awamu iliyopita.
Mlilipwa ngapi? Una ushahidi?Kawaulize wenzako wenye uwezo mdogo wa kufikiri.
Soo mbili.Mlilipwa ngapi? Una ushahidi?