Duh! Tanzania is last in Africa most attractive mining investment destination

Duh! Tanzania is last in Africa most attractive mining investment destination

Hivi nimeandika awamu ya mwisho au nimeandika "huo ujinga mwisho awamu iliyopita" ?
Acha kukurupuka ovyo soma na uelewe.
Awamu iliyopita, haha! 😀 Napenda unavoruka ruka bila formular, jombaa endelea kusifia sifia hadi kwenye vitu vya kipumbavu, bora buku saba zipo mfukoni. [emoji1]
 
Awamu iliyopita, haha! 😀 Napenda unavoruka ruka bila formular, jombaa endelea kusifia sifia hadi kwenye vitu vya kipumbavu, bora buku saba zipo mfukoni. [emoji1]
Sijaruka chochote wewe ndio hujui kusoma na kuelewa pia uwezo wako wa kufikiri ni mdogo,
Embu nioneshe niliporuka,
Ujinga wenu humu ni kufikiri kila mtu ni ccm,
Kitu kimeandikwa hivi halafu kwa ujinga wako unakipindisha ili ujibu unavyotaka,
Punguza kukurupuka ovyo... Soma na uelewe kabla ya kureply.
 
Ukiruhusu wakunyonye watakuweka namba moja tena first class kabisa,
Ila ukibadilisha sheria zako ili zifaidishe nchi husika tatizo huanzia hapo [emoji23][emoji23][emoji23]
Nasema hivi JPM kanyaga twende lazima wawe na adabu na rasilimali zetu... Huo ujinga mwisho awamu iliyopita.
Ni wachache sana wanaolijua hilo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom