MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Hii hatari kwa kweli yaani, mpokee kipigo cha Senegal, mje mcharazwe na Kenya, huku bado mnauguza maumivu mnapangwa dhidi ya Algeria, ambao mna historia mbaya sana nao, poleni sana majirani, nashindwa hata kuwaza mnachohisi.
Hapo Bongo wanangu/washkaji hawataki hata kunijibu kwenye Whatsapp......
Hapo Bongo wanangu/washkaji hawataki hata kunijibu kwenye Whatsapp......