MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Nimeona twitter ya Zitto Kabwe katiririka kweli, nashangaa mnaokesha huku mkiisema Kenya, halafu mambo kama haya ndio husababisha ndege inachukuliwa na wenyewe
Mfano wa madeni ya kesi hizo ni:
1. Eco Energy Bagamoyo - $500m (Sawa na Shilingi 1.11 Trilioni)
3. Symbion $600m (Sawa na Shilingi 1.33 Trilioni)
4. Standard Chartered Bank HongKong (SCBHK) - $700m (Sawa na Shilingi 1.5 Trilioni)
5. Acacia $2bn - (Sawa na Shilingi 4.46 Trilioni)
Mfano wa madeni ya kesi hizo ni:
1. Eco Energy Bagamoyo - $500m (Sawa na Shilingi 1.11 Trilioni)
3. Symbion $600m (Sawa na Shilingi 1.33 Trilioni)
4. Standard Chartered Bank HongKong (SCBHK) - $700m (Sawa na Shilingi 1.5 Trilioni)
5. Acacia $2bn - (Sawa na Shilingi 4.46 Trilioni)