Duka gani hapa Dar wanauza pete original

Duka gani hapa Dar wanauza pete original

Kuna mtoto wa mtu amejaa, anataka nimvishe pete, nimeona isiwe tabu ngoja nikate kiu yake.

Naomba kujua maduka yanayouza pete original za madini kama almasi, dhahabu, shaba ama tanzanite kwa hapa Dar es Salaam.

Bajeti yangu ni kuanzia laki 5 hadi 2M. Lakini pia naomba ushauri wa aina nzuri ya pete kati ya hayo madini niliyoyaweka hapo juu itamfaa huyu mtoto.

Ahsanteni sana.
Picha ya huyo mtoto ipo wapi.
Weka kwanza picha ya demu wako ili tupendekeze aina ya Pete isije kuwa demu wa kikurya
 
Mkuu achana na generalisation syndrome. Generalisation ni ishara ya matatizo ya akili.
Hahahaa nilijua tu utasema hivyo ila punguza mihemko ya kutaka ushauri kisa una demu wa kumnunulia pete, wenye dalili za matatizo ya akili ni wengi hapa ukiwemo na wewe 😁
 
Tanzanite ni fragile gem linapata mikwaruzo na kupasuka kirahisi sana. Engagement, wedding unahitaji jiwe durable litakalodumu throughout your life. Hapa kuna diamond, corrundum (ruby, sapphire), beryl, garnets, quartz...
Never never.. tanzanite, tourmaline, zircon labda kama mna mpango wa kuishi muda mfupi
 
Nenda Mtaa Wa Kitumbini Hapo Maduka Ya Jewellers Tele Cash Yako
Unajichotea Madini.
Mheshimiwa Rais Anasema Dini Moja Tu
 
Sheria mpya ya ndoa.

1)Wanandoa watarajiwa watapimwa HIV kabla ya ndoa

2)wanandoa watapimwa HIV kila baada ya miezi 3 wakiwa kwenye ndoa

3)....

Upo kwenye ndoa unapima ili iweje!
 
Mkuu mtoto ana hadhi, ana viwango vya kimataifa kiongozi.
The beauty of the one is in the eyes of the beholder. So saying that your woman has international standards that is according to what your eyes see,if I am asked about my wife ,I can say she has intercontinental standards but this is due to how I judge her.

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Nenda mtaa wa uhindini Indira Ghandi maduka ya sonara mengi sana ya wahindi yamepangana unachagua tu unachotaka.
 
Unagharamikia hivyo ,afu wahuni wanakuja kumgonga for free of charge.
 
Kumbe wewe ndio unaoa mtoto wa mjomba? Jumamosi hii tutaonana
 
Achana na matapeli
Nenda pale karibia na kisutu ingilia clock tower kushoto kuna maduka ya gold, kama ni mpenzi wa gold chukua yellow gold, kuna duka linaitwa Almas na wenzie pote pale line hiyo ni genuine!

Kuna duka liko city mall pale usiende wapuuzi sana Mkuu! Ukiwa na swali la ushauri njoo inbox nitakusaidia ndugu! Mungu akutangulie hitaji la moyo wako!
 
Back
Top Bottom