Mwaikibaki JF-Expert Member Joined Mar 19, 2015 Posts 3,004 Reaction score 3,695 Feb 6, 2021 #41 Champagnee said: Mzinguaji huyu Click to expand... Ni kweli wapuuzi hao staki kuwasikia!
Cash Generating Unit JF-Expert Member Joined Jan 12, 2019 Posts 13,286 Reaction score 39,418 Feb 6, 2021 #42 Mwaikibaki said: Ni kweli wapuuzi hao staki kuwasikia! Click to expand... Nilienda kununua ring nkakuta hawapo serious nkasepa kwa yakubu indiraghandi pale unapewa hudum nzuri na ushauri
Mwaikibaki said: Ni kweli wapuuzi hao staki kuwasikia! Click to expand... Nilienda kununua ring nkakuta hawapo serious nkasepa kwa yakubu indiraghandi pale unapewa hudum nzuri na ushauri
aikamatemu JF-Expert Member Joined Jan 29, 2020 Posts 464 Reaction score 1,897 Feb 8, 2021 #43 Bajeti yako maximum iwe mil 2 pete ianzie laki 5 your not serious na pesa buda hii ni chai
siokesi Member Joined Oct 9, 2014 Posts 13 Reaction score 9 Feb 8, 2021 #44 Krait said: Tena kimasihara Swali kwa mleta mada, Je huyo manzi ulimkuata Bikra? Click to expand... Oya kuna mitumba iko powa sana Kwakila idala Siyo mbaka chombo uki toe kala tasi Oya tunao penda mitumba tupoo
Krait said: Tena kimasihara Swali kwa mleta mada, Je huyo manzi ulimkuata Bikra? Click to expand... Oya kuna mitumba iko powa sana Kwakila idala Siyo mbaka chombo uki toe kala tasi Oya tunao penda mitumba tupoo