Habari za asubuhi wana JF.
Wakuu kunasehemu nimeona naweza kufungua duka la dawa, naomba watalaam wanisaidie mahitaji yanayohitajika na gharama zake. Ningependelea kuweka dawa nyingi coz mi dr, kama kuna mtu anifafanulie madaraja ya maduka ya dawa. Natarajia ushirikiano wenu wakuu. Asante.