Duka la Dawa Muhimu za Binadamu (Pharmacy): Utaratibu wa Kufuata na Mtaji wa Kuanzisha Biashara

Huyu Naye, in ground wanakula 250,000 tsh per month,na siku zinaenda.
 
vipimo vya duka la dawa baridi ni vipi as stipulated by any mamlaka ya dawa
 
We dr wa ajabu yaani sisi badala tupate majibu kutoka kwako msaada na wewe unataka kutoka kwetu
Ili hari wewe ndio upo jikoni
Mfamasia unamjua wa kituo mpaka wilaya aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…