NetMaster
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 1,454
- 4,925
Fred Vunjabei ameamua kuweka duka lake Zanzibar kuwapa ahueni ya kununua vitu kwa bei ya juu. Kabla hata hajaanza kazi keshaanza kupata mizengwe na Manispaa ya Mjini Zanzibar.
Ngazi za kuingilia mlangoni zimechomolewa kwa kigezo kuwa zimekiuka sheria.
Ngazi za kuingilia mlangoni zimechomolewa kwa kigezo kuwa zimekiuka sheria.