Eng. Zezudu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 8,024
- 11,546
Wazenji wanajiona wazungu kisa hawana visogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahahaYale Yale mchungaji akiroga "muujiza" mganga akiroga "uchawi"
wewe ndio umewaza vzr kuliko wengne waliotanguliza chuki kwanza bila ya kuhoji sababu.Labda Hiyo ngazi inasapoti kupigwa chabo (labda) ndio maana kaambiwa abadilishe
😁😁😁 ipi hiyo yala kitimoto kwa kujificha.Haya haya misheikh inayokula kitimoto kwa kujificha?
Kupigwa chabo wapi?Ina maana kule hakuna majengo yenye gorofa kuanzia 2 na kuendelea,je wao ngazi zao zikoje?Labda Hiyo ngazi inasapoti kupigwa chabo (labda) ndio maana kaambiwa abadilishe
Woolworths noma. Mwaka fulani nilikuea nmetembelea na vipesa nikawa nanunuaga vitu vya mwanangu pale back 2015, vile visoksi vya watoto 18000 pair wakati vya kitaa buku tu.Pale Woolworths mikocheni/shoppers wanauza jeans laki 3.5 je wewe una uwezo wa kununua jeans kwa bei hiyo? Hata mtu mwenye kipato cha mil 2 kwa mwezi hana uwezo wa kununua hiyo nguo.
Nguo anazouza vunja bei ndio hizo hizo zinazouzwa maduka yote k/koo
Uzuri nguo zao mkataba sio aya malonya tunayouziwa k/koo nguo ukifua siku 3 tu inakuwa kama utumboWoolworths noma. Mwaka fulani nilikuea nmetembelea na vipesa nikawa nanunuaga vitu vya mwanangu pale back 2015, vile visoksi vya watoto 18000 pair wakati vya kitaa buku tu.
Hizi nguo mnazivalia wapi kwendea kazini au Home 😥😥Hauwezi kupata jeans bora kwa elfu 17 mkuu,mtumba wenyewe grade one si chini ya elfu 50
Yale yale kunya anye kuku tu akinya bata KaharishaYale Yale mchungaji akiroga "muujiza" mganga akiroga "uchawi"
Hata Max sijajua sasa hivi ila walikuwa na nguo quality. Nlikuwa nanunua nguo oale kwenye mall yao ya msasani cardet navaa mpaka nachoka mwenyewe au naacha kwa sababu yankuongezeka. Pia nguo za watoto safi na ni unique. Bei yao imeshiba ila si sana na kuna wakati wana sale. Ila nguo zao quality nzuri.Uzuri nguo zao mkataba sio aya malonya tunayouziwa k/koo nguo ukifua siku 3 tu inakuwa kama utumbo
Bei zao zimekaaje au ndio mkasi mkali?Hata Max sijajua sasa hivi ila walikuwa na nguo quality. Nlikuwa nanunua nguo oale kwenye mall yao ya msasani cardet navaa mpaka nachoka mwenyewe au naacha kwa sababu yankuongezeka. Pia nguo za watoto safi na ni unique. Bei yao imeshiba ila si sana na kuna wakati wana sale. Ila nguo zao quality nzuri.
Kazi zangu za shamba au nikiwa naendesha bike lazima nivae jeansHizi nguo mnazivalia wapi kwendea kazini au Home 😥😥
Jeans 50K then unatoka nayo Home unaingia kwenye gari unaingia ofisini kutoka jioni unarudi Home 😂😂
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yale Yale mchungaji akiroga "muujiza" mganga akiroga "uchawi"
Pamoja na yote vunja bei ni kanjanja sana nguo anakuuzia bei pungufu kumbe ni low quality
Ukifua mara mbili inakuwa dekio
Alisema tz ni wengi ni wajinga hakukosea
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hizi nguo mnazivalia wapi kwendea kazini au Home [emoji26][emoji26]
Jeans 50K then unatoka nayo Home unaingia kwenye gari unaingia ofisini kutoka jioni unarudi Home [emoji23][emoji23]
Kabisa....Uzuri nguo zao mkataba sio aya malonya tunayouziwa k/koo nguo ukifua siku 3 tu inakuwa kama utumbo
Cardet mara ya mwisho zilikuwa 45000 ila muda wa sale zinashuka. Wana varieties za nguo maana kuanzia chini hadi juu ni maduka yao yote nguo zote zina logo za max. Fika siku moja pale msasani kwa mfano utaona mkuuBei zao zimekaaje au ndio mkasi mkali?