Duka la Fred Vunjabei lavunjwa ngazi Zanzibar

Duka la Fred Vunjabei lavunjwa ngazi Zanzibar

Ni ukweli kabisa nguo za Fred ni nzuri zikiwa mpya ukizifua zinapauka na kupoteza quality yake kabisa. Kuna jeans moja nilinunua vunjabei ya Dodoma ilikua nzuri sn ilivyokua mpya now imekua laini km surauli ya kitambaa
 
Mazanzibari ni mabaguzi sana linapokuja swala la ku-exploit fursa zilizopo Zanzibar, na mtumiaji huyo akawa ni mtanganyika (mtu kutoka Tanzania bara)

Wao Kariakoo, Tandika, Kigamboni, Mbagala wamejazana tele

Wako radhi fursa za biashara, ajira, nakadhalika vigawiwe kwa raia wa kigeni kuliko kwa watu kutoka upande wa pili wa muungano 'Tanganyika/Tanzania bara'
Mnoo, Wakati huku hadi viwanja wanamiliki, sasa nenda kajaribu huko uone mtiti
 
vunja bei anauza nguo za grade 7 kutoka china,ukifua mara 2 hazifai
baadhi ya wenzetu wa tz ni wapumbavu sana. kama huyo anayeongelea jinsi ya laki 3 shoppers, kumtetea vunja bei ni kama vile halijui kwamba kuna foreigners/diplomats hapa nchini na hayo (shoppers,) ndio maeneo yao hasa ya kufanya matununuzii
kulipo mtu kununua nguo mf jinsi kwa baba toto ni kheri uende karume utapata jinsi nzuri na ya kudumu tena kwa bei poa watanzania tuache ulimbukeni wa kununua ma famba ya kichina na yalivyo mengi unaweza kukaa sehemu ukajikuta mmevaa nguo za kufanana watu hata kumi wote mmevaa mafamba ya kicina ya kina vunja bei
 
vunja bei anauza nguo za grade 7 kutoka china,ukifua mara 2 hazifai
baadhi ya wenzetu wa tz ni wapumbavu sana. kama huyo anayeongelea jinsi ya laki 3 shoppers, kumtetea vunja bei ni kama vile halijui kwamba kuna foreigners/diplomats hapa nchini na hayo (shoppers,) ndio maeneo yao hasa ya kufanya matununuzii
kulipo mtu kununua nguo mf jinsi kwa baba toto ni kheri uende karume utapata jinsi nzuri na ya kudumu tena kwa bei poa watanzania tuache ulimbukeni wa kununua ma famba ya kichina na yalivyo mengi unaweza kukaa sehemu ukajikuta mmevaa nguo za kufanana watu hata kumi wote mmevaa mafamba ya kicina ya kina vunja bei
Maduka mengi tu hapo zenji wanauza hizo hizo tu
 
Li ngazi lililovunjwa lilikuwa limejengwa kwenye side walk. Linaning'inia kwenye njia ya waenda kwa miguu mbele ya ofisi. Halmashauri imewaambia ukitaka mingazi ya kuning'nia nje ya jengo weka nyuma ya jengo huko, huwezi kujijengea jengea ovyo ovyo ma accessories ya kuziba njia na mandhari ya miji na majengo. Mkurugenzi wa Halmashauri amekataa kumuogopa Vunjabei kwa sababu eti ana biashara kubwa au ana jina kubwa. Good job.
 
Pamoja na yote vunja bei ni kanjanja sana nguo anakuuzia bei pungufu kumbe ni low quality
Ukifua mara mbili inakuwa dekio
Alisema tz ni wengi ni wajinga hakukosea
Kila soko lina wateja wake
 
Kuwapa ahueni? Sijapata kuona mtu mjinga kama mleta uzi!
 
Cardet mara ya mwisho zilikuwa 45000 ila muda wa sale zinashuka. Wana varieties za nguo maana kuanzia chini hadi juu ni maduka yao yote nguo zote zina logo za max. Fika siku moja pale msasani kwa mfano utaona mkuu
Pamoja
 
Pamoja na yote vunja bei ni kanjanja sana nguo anakuuzia bei pungufu kumbe ni low quality
Ukifua mara mbili inakuwa dekio
Alisema tz ni wengi ni wajinga hakukosea
Huyo huyo vunjabei ndo alisema watz ni wajinga?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom