Yale Yale mchungaji akiroga "muujiza" mganga akiroga "uchawi"Yale Yale mzungu akija Africa mtalii mwafika akienda ulaya mkimbizi,,
😂😂😂😂Yale Yale mchungaji akiroga "muujiza" mganga akiroga "uchawi"
Acha kutetea ujinga ngazi ni kweli ilitolewa na huo ndio ukweli.Hii ni editing acha ushamba wewe. Ngazi zipo
Pale Woolworths mikocheni/shoppers wanauza jeans laki 3.5 je wewe una uwezo wa kununua jeans kwa bei hiyo? Hata mtu mwenye kipato cha mil 2 kwa mwezi hana uwezo wa kununua hiyo nguo.Pamoja na yote vunja bei ni kanjanja sana nguo anakuuzia bei pungufu kumbe ni low quality
Ukifua mara mbili inakuwa dekio
Alisema tz ni wengi ni wajinga hakukosea
Aisee usiniambie ipo sehemu wanauza jeans laki 3.5....Pale Woolworths mikocheni/shoppers wanauza jeans laki 3.5 je wewe una uwezo wa kununua jeans kwa bei hiyo? Hata mtu mwenye kipato cha mil 2 kwa mwezi hana uwezo wa kununua hiyo nguo.
Nguo anazouza vunja bei ndio hizo hizo zinazouzwa maduka yote k/koo
Mazanzibari ni mabaguzi sana linapokuja swala la ku-exploit fursa zilizopo Zanzibar, na mtumiaji huyo akawa ni mtanganyika (mtu kutoka Tanzania bara)Fred Vunjabei ameamua kuweka duka lake Zanzibar kuwapa ahueni ya kununua vitu kwa bei ya juu. Kabla hata hajaanza kazi keshaanza kupata mizengwe na Manispaa ya Mjini Zanzibar.
Ngazi za kuingilia mlangoni zimechomolewa kwa kigezo kuwa zimekiuka sheria.
View attachment 2592469
Jeans za Fred mbona hazina shida anawapa watu urahisi wanazingua.Mtaani kuna jinsi ni bei ni 17k mpk 20k na ni bora mara 5kuliko zake
We wap mkuu
Au ni super agent wake?
Hauwezi kupata jeans bora kwa elfu 17 mkuu,mtumba wenyewe grade one si chini ya elfu 50Mtaani kuna jinsi ni bei ni 17k mpk 20k na ni bora mara 5kuliko zake
We wap mkuu
Au ni super agent wake?
Bora kuliko hiyo ya 19 kwa vunja beiHauwezi kupata jeans bora kwa elfu 17 mkuu,mtumba wenyewe grade one si chini ya elfu 50
Haya haya misheikh inayokula kitimoto kwa kujificha?No way we can innovate to Zanzibar, masheihk hawawezi vaa vibana tumbo na vikata kei.