Von_Lufuta
JF-Expert Member
- Mar 19, 2023
- 1,528
- 3,641
Na huyo mpenzi wake ndio BASHA wakeDula anadai kuwa anafuata ushauri wa mpenzi wake aliye naye sasa na kila analomweleza basi yeye hufuata pasipo pingamizi
View attachment 2671731
View attachment 2671732
Aisee hii sitaki hata kuiskiaKweli wanasema isikie kwa mwenzioπ
Kwaiyo mpenzi wake akimshauri aingize kitu chenye ncha Kali kwenye tupu yake ya nyuma atakubali bila kupinga?Dula Makabila msanii maarufu wa Tanzania wa miondoko ya Singeli ameamua kubadilisha muonekano wake asili wa kiume na kuja na muonekano mpya wa kike akiwa amevalia wigi la kike pamoja na glasss ya kike.
Dula anadai kuwa anafuata ushauri wa mpenzi wake aliye naye sasa na kila analomweleza basi yeye hufuata pasipo pingamizi
View attachment 2671731
View attachment 2671732
Mtalimbo?Kaamua kuukaliaπ
Wewe ambaye umeshajua kuwa imeuzwa ni hatua zipi umechukua hadi sasa ikiwa hata kwenye maandamano hukutokea!!?Huyu hajui hata bandari imeuzwa so sad
Dogo kashindwa kabisa kujificha
One more man downDula Makabila msanii maarufu wa Tanzania wa miondoko ya Singeli ameamua kubadilisha muonekano wake asili wa kiume na kuja na muonekano mpya wa kike akiwa amevalia wigi la kike pamoja na glasss ya kike.
Dula anadai kuwa anafuata ushauri wa mpenzi wake aliye naye sasa na kila analomweleza basi yeye hufuata pasipo pingamizi
View attachment 2671731
View attachment 2671732
πππππππ Wacha weeeeeDAMN, WTF
Hata kama ni kiki, this is too much
Scripture calls men not to be EFFEMINATE.
So the natural implication is that there are behaviors that are natural to women that are NOT natural to men. Therefore men should not behave in that feminine way.
hawa watu wanatakiwa kuzuiwa, wanachafua vijana na watoto kwani itafika kipindi watawaiga, huu ni uchafu unaotakiwa kukemewa na serikali.Dula Makabila msanii maarufu wa Tanzania wa miondoko ya Singeli ameamua kubadilisha muonekano wake asili wa kiume na kuja na muonekano mpya wa kike akiwa amevalia wigi la kike pamoja na glasss ya kike.
Dula anadai kuwa anafuata ushauri wa mpenzi wake aliye naye sasa na kila analomweleza basi yeye hufuata pasipo pingamizi
View attachment 2671731
View attachment 2671732
Ila mtalimbo si anakalia Dula pekee iweje wengine waige?hawa watu wanatakiwa kuzuiwa, wanachafua vijana na watoto kwani itafika kipindi watawaiga, huu ni uchafu unaotakiwa kukemewa na serikali.
Tegeta kipind flan msanii wa singeli alivua boksa akaonesha makalioπAnacho kitafuta atakipata, ningekua na mamlaka hakika huu upumbavu wanaouita singeri ninge ufutilia mbali kabisa, kazi yao kuhamasiha uhuni na ushoga washenziiiii kabisa hao π‘π‘π‘π‘π‘πΆπΆπΆπΆ