Uchaguzi Ni wake. Na hajavunja katibaInasikitisha sana...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uchaguzi Ni wake. Na hajavunja katibaInasikitisha sana...
Kwahiyo tuliofata baada ya Adam... Mkuu unataka kusemaje 😳😳😳Adam pekee ndie mwanaume ambaye hakuwa na vinasaba vya kike
Adam hakuzaliwa bali aliumbwa.. Hii ni kwa mujibu wa misahafu ya baadhi ya dini.... Eva naye hakuzaliwa bali ilikuwa ni kama kitu leo hii tunaita cloning.... Lakini cha ajabu hakutokea kama replica ya Adam kulikuwa na tofauti kidogo kwenye via vya uzazi.. Halafu Adam akamrudi Eva akamgeuza bibi...www.jamiiforums.com
Adam pekee ndie mwanaume ambaye hakuwa na vinasaba vya kike
Sent using Jamii Forums mobile app
He he. Prince wa bongoDula Makabila msanii maarufu wa Tanzania wa miondoko ya Singeli ameamua kubadilisha muonekano wake asili wa kiume na kuja na muonekano mpya wa kike akiwa amevalia wigi la kike pamoja na glasss ya kike.
Dula anadai kuwa anafuata ushauri wa mpenzi wake aliye naye sasa na kila analomweleza basi yeye hufuata pasipo pingamizi.
Ikumbukwe kuwa Dula hajaanza leo hii michezo ya kupenda ukike alianza tangu atoe wimbo wake wa "Ningekuwa Demu" watu walidhani kuwa ulikuwa utundu wa kucheza na sanaa lakini kumbe alikuwa na lake jambo ambayo sasa analidhihirisha wazi.
View attachment 2671731
View attachment 2671732
Tunawalaumu CCM bure tu, wana mtaji mkubwa wa wapumbavu na ndio nguvu yao, so sadHuyu hajui hata bandari imeuzwa so sad
Kwa hiyo kama kapendeza,anafaa pia kutongozwa!!??Sema tukiacha mambo mengine amependeza[emoji16][emoji16][emoji16]
Si sapoti upinde kwaiyo sijuiKwa hiyo kama kapendeza,anafaa pia kutongozwa!!??
🤝Singeli ni mziki wa wasiojitambua
Dullah Ni raia huruMeneja wake ndio anatakiwa ambadilishe; 'msanii' ni bidhaa, chochote kile anapangiwa na uongozi wake