Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na Dulla kasoma Madrasa kabisa?Dula Makabila msanii maarufu wa Tanzania wa miondoko ya Singeli ameamua kubadilisha muonekano wake asili wa kiume na kuja na muonekano mpya wa kike akiwa amevalia wigi la kike pamoja na glasss ya kike.
Dula anadai kuwa anafuata ushauri wa mpenzi wake aliye naye sasa na kila analomweleza basi yeye hufuata pasipo pingamizi.
Ikumbukwe kuwa Dula hajaanza leo hii michezo ya kupenda ukike alianza tangu atoe wimbo wake wa "Ningekuwa Demu" watu walidhani kuwa ulikuwa utundu wa kucheza na sanaa lakini kumbe alikuwa na lake jambo ambayo sasa analidhihirisha wazi.
View attachment 2671731
View attachment 2671732
Sio kitu kipya dunianiUshoga ni janga jipya,watu wanapewa fedha ili ku promote
AmenMwendo ameumaliza.
🤣🤣🤣🤣🤣Amen
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sema tukiacha mambo mengine amependeza[emoji16][emoji16][emoji16]
Mbna Bongo flavas pia ni hivyooo???Anacho kitafuta atakipata, ningekua na mamlaka hakika huu upumbavu wanaouita singeri ninge ufutilia mbali kabisa, kazi yao kuhamasiha uhuni na ushoga washenziiiii kabisa hao [emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweliii.Kapendeza kuliko Wanawake zenu, kuna somo amewapa hapo.
Baadhi ya mashoga, sio woteee, wengine wako buzzy na RnB.Singeli inakwenda samba na upinde
Mashog wengi ni mashabiki wa singeli....
Singeli imechkua nafasi ya taarab
Kupendwa na mashoga
Ova
Wewe kwann unaumia Sasa? Wakati yeye ndo anapakuliwa?Wanampakua
Hatari sana. Mashetani hayana msamaha, ndio maana wanatenda mambo mengi ya aibu kwa kuwa hawana cha kupoteza.Hivyo ndivyo huwa kwa waliouza nafsi zao kwa "the father of all evils..."
Ili asiharibu wengine kwa kuigaWewe kwann unaumia Sasa? Wakati yeye ndo anapakuliwa?