Sio vya kukaanga ,vya kuchemsha ni sawa kabisa,ila kibongobongo asilimia kubwa vinakaangwa na ndio sio vizuri kwa hilo ulisemaloKwa taarifa yako viazi ni wanga mzuri sana na vinautia nguvu mwili
Hata yeye Twaha Kiduku ana kaa kwa huyo bondia wa Kongo.Cheki Twaha Kiduku anavyosikitika mwamba anavyodhalilika.
Ngumi hazipo hivyo,unaweza kushangaa akadondoshwa kiulaini tu huyo Katompa na Kiduku,naamini mapromota watamleta tena amchalenji kiduku,uzuri wa kiduku hakupi nafasi sana ya kumshambulia,shida ya dullah hana uwezo wa kujilinda kabisa,anaruhusu sana kupigwa,we fikiria ile mara ya pili alivyoangushwa yeye ndio alimbananisha huyo mkongo kwenye kamba lakini mkongo akachoropoka akamgonga ngumi iliyomwangusha mbabe,ana mapungufu mengi sana huyo mzaramoHata yeye Twaha Kiduku ana kaa kwa huyo bondia wa Kongo.
Twaha ana vingumi vyepesi sana na hajawahi kumdondosha dulla mbabe katika mapambano yake yote.
Kama anabisha amwite Katompa aje achapwe na yeye.
Hombo dikwela munyu [emoji5][emoji5][emoji5][emoji5][emoji28][emoji28]Mijitu ya bara naona hilo neno la afile munu asigale munu mmelishikilia na kuliona labda lugha ya ajabu duniani,,, wakati nyie wenyewe milugha yenu mkiongea ka mzizi wa jiwe, aliyepigwa abdallah lkn naona lugha ndo inajadiliwa, acheni shobo
Asigale katompa afwile dullaAfwile munu, asigale munu
Afe mtu, abakie mtu
Adui afie ulingoni, yeye abaki ulingoni.
Leo imabadilika imekuwa
Asigale munu, Afwile munu
Hapo nimeshangaa sana kudondoshwa kote bado wanyama point dullaHalafu hawa Majaji hovyo kabisa zile point wamempa Abdalah Pazi za nini kuna mmoja katoa 94 kwa 93. Yaani hata kwenye ngumi kuna akina Mahela wa NEC.
Mwakinyo janja sana anapigana na wanyanyua vyuma ambani mikono imepinda hawawezi kuachia jebuDula amuige mwakinyo, atafute wastaafu huko aje ajipigie akijidai kuendelea kuleta walio kazini atafia uwanjani shauri yake
Halafu hakuna na maandalizi wamemstukizaHata yeye Twaha Kiduku ana kaa kwa huyo bondia wa Kongo.
Twaha ana vingumi vyepesi sana na hajawahi kumdondosha dulla mbabe katika mapambano yake yote.
Kama anabisha amwite Katompa aje achapwe na yeye.
Tshimanga ana viwango vya kimataifa.
Na sio vya akina Mwakinyo.
Hao washazoea hao madaktar wanakataza sn lkn wap vichwa ngumuUshauri wangu inabidi akapimwe ST SCAN kwa ngumi zile hatari kwa afya yake.
Kweli Mkuu anaweza kuwa amepata haemorrhage kwenye brain.Vema apewe huduma ya CT SCAN mapema.Hao washazoea hao madaktar wanakataza sn lkn wap vichwa ngumu
kama janja janja sasa kwanini ni number 1 AFRICA Kwenye uzito wake mkuu? Acha wivu wa kichawiMwakinyo janja sana anapigana na wanyanyua vyuma ambani mikono imepinda hawawezi kuachia jebu
CT sio STKweli Mkuu anaweza kuwa amepata haemorrhage kwenye brain.Vema apewe huduma ya ST SCAN mapema.
Yaani mtangazaji alipokuwa anasoma zile pointi mimi nilibaki mdomo wazi. Yaani Dula kupigwa kote kule na mkongo kuanzia raundi ya kwanza mpaka ya mwisho lakini eti jaji mmojwapo akakosa aibu kabisa akasema wamepishana point moja. Hawa majaji wawe "serious" aisee vinginevyo watauharibu mchezo wa ngumi kwani kwa sasa hapa Tanzania nadhani ngumi ndio mchezo unaofuatiliwa na watu wengi ukiacha mpira wa miguu. Mwanzoni majaji walikuwa na hii tabia ya kuwapendelea wabongo lakini baada ya kelele nyingi za wadau walijirekebisha. Lakini kwa mwelekeo wa jana naona kama vile wanataka kurudisha tabia hii mbovu.Hapo nimeshangaa sana kudondoshwa kote bado wanyama point dulla
Zigulants hiyoooHombo dikwela munyu [emoji5][emoji5][emoji5][emoji5][emoji28][emoji28]
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app