Dulla kaachwa na Zai 🀣🀣🀣🀣

So what?
Ukiwa unainba sengeli wewe ni wa kienyeji sana, usihangaike na classic chick's, hutodumu nao.
Kwa wakiwnyeji wenzako, dera ni vazi la kutokea, kwa ushuani dera ni vazi la kufanyia kazi za ndani, hata msibani hatuvaagi
Classic gani pale gazette la jioni
 
So what?
Ukiwa unainba sengeli wewe ni wa kienyeji sana, usihangaike na classic chick's, hutodumu nao.
Kwa wakiwnyeji wenzako, dera ni vazi la kutokea, kwa ushuani dera ni vazi la kufanyia kazi za ndani, hata msibani hatuvaagi
Jamani.
Asa Zai ana uclassic gani?
 
Chai
 
Zai Hana uclassic wowote Sema tu kapata bahati ya kuigiza tamthilia za lamata Baasi,ila WA uswazi tu kama Wengine
Sema Zai ndo ana shidaa ndoa tatu zote zimemshinda kaahh
Sure ni demu wa uswahilini tuu hata muonekano wake unaonyesha hvyo

Kama kashindwa ndoa tatu ..kuna shida mahali
 
Sina wasi wasi na huko kuachana kwao maana ni mambo ya kawaida kuachana!
Wasi wasi wangu ni endapo mtoa mada ni mwanaume πŸ™†πŸ™†
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…