Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hanakosea viemoji vya kucheka cheka tu.
Classic gani pale gazette la jioniSo what?
Ukiwa unainba sengeli wewe ni wa kienyeji sana, usihangaike na classic chick's, hutodumu nao.
Kwa wakiwnyeji wenzako, dera ni vazi la kutokea, kwa ushuani dera ni vazi la kufanyia kazi za ndani, hata msibani hatuvaagi
Jamani.So what?
Ukiwa unainba sengeli wewe ni wa kienyeji sana, usihangaike na classic chick's, hutodumu nao.
Kwa wakiwnyeji wenzako, dera ni vazi la kutokea, kwa ushuani dera ni vazi la kufanyia kazi za ndani, hata msibani hatuvaagi
Kwani Mange kasemaje huko appuni? maana nimepata insta anawaiteni appuni wateja wake akawape ubuyu 😁Za chini chini inasemekana Zai anatoka kimapenzi na Rommy Jones (RJ).
Huyu Hans humjui?ni mbeya mbeya flan hiviAnakosea viemoji vya kucheka cheka tu.
ChaiDulla Makabila alipompata Zai mbwe mbwe kibao leo kiko wapi??🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kwa ninavyoona haraka haraka Dulla ndiye aliyempenda Zai ila Zai wala hakuwa na mapenzi kihiiivyo Dulla.
Pia ukichunguza kwa makini Zai haikuwa akili ya kawaida ku date na Dulla ni ile kukurupuka baada ya kutengana na bwana wake ndipo akaangukia kwa Dulla tena ndani ya muda mchache mnooo.
Masikini Dulla ,rasta kanyoleshwa akaamliwa anyoe kipara akanyoa,wigi kaveshwa lakini bado kapigwa kibuti 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Jamaa alikuwa kama zezeta kwa Zai , mwenyewe utamkuta kwenye show anawaambia mashabiki zake "Nikisema Zaiii mnasema Lisa,Zai Lisaaa ,Zai Lisaaa " leo sijui itakuwaje maana ana show lakini amejawa na mawazo mno.
View attachment 2696399
Breki P ClassicJamani.
Asa Zai ana uclassic gani?
Sure ni demu wa uswahilini tuu hata muonekano wake unaonyesha hvyoZai Hana uclassic wowote Sema tu kapata bahati ya kuigiza tamthilia za lamata Baasi,ila WA uswazi tu kama Wengine
Sema Zai ndo ana shidaa ndoa tatu zote zimemshinda kaahh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkuu weka video hapaHuna zai hajatulia nshaona vdeo zake za uch akipigiana vdeocall na washua
NomaZa chini chini inasemekana Zai anatoka kimapenzi na Rommy Jones (RJ).
Yaaani Ndoa imefanyika Charambe Huko uswahili kabisaa,yule anaonekana mswazi afu mswazi Tena....!!!Nimeshangaa kusikia Zai ni classic
Ana mdomo Sanaa ,Yaani ni kichefu chefu hasaaa....kapata tu uzuri wa wastani wa kuonekana mjini Baasi Tena kamaliza Kazi!!Sure ni demu wa uswahilini tuu hata muonekano wake unaonyesha hvyo
Kama kashindwa ndoa tatu ..kuna shida mahali
AiseeSina wasi wasi na huko kuachana kwao maana ni mambo ya kawaida kuachana!
Wasi wasi wangu ni endapo mtoa mada ni mwanaume 🙆🙆
chaiAisee