Dulla kaachwa na Zai 🤣🤣🤣🤣

Zai Hana uclassic wowote Sema tu kapata bahati ya kuigiza tamthilia za lamata Baasi,ila WA uswazi tu kama Wengine
Sema Zai ndo ana shidaa ndoa tatu zote zimemshinda kaahh

Kumekucha ndoa za celeb wa bongo ni vichekesho tupu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ana mdomo Sanaa ,Yaani ni kichefu chefu hasaaa....kapata tu uzuri wa wastani wa kuonekana mjini Baasi Tena kamaliza Kazi!!
Kaolewa mara zote anaachwa Kwa mdomo maana anachezea vipigo balaa

Kipindi kile alivyopewa kipigo na mimba kutoka nilimuonea huruma, kumbe ana mdomo??
 
Chai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…