Dulla kaachwa na Zai 🤣🤣🤣🤣

Dulla kaachwa na Zai 🤣🤣🤣🤣

Zai Hana uclassic wowote Sema tu kapata bahati ya kuigiza tamthilia za lamata Baasi,ila WA uswazi tu kama Wengine
Sema Zai ndo ana shidaa ndoa tatu zote zimemshinda kaahh

Kumekucha ndoa za celeb wa bongo ni vichekesho tupu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ana mdomo Sanaa ,Yaani ni kichefu chefu hasaaa....kapata tu uzuri wa wastani wa kuonekana mjini Baasi Tena kamaliza Kazi!!
Kaolewa mara zote anaachwa Kwa mdomo maana anachezea vipigo balaa

Kipindi kile alivyopewa kipigo na mimba kutoka nilimuonea huruma, kumbe ana mdomo??
 
Dulla Makabila alipompata Zai mbwe mbwe kibao leo kiko wapi??🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Kwa ninavyoona haraka haraka Dulla ndiye aliyempenda Zai ila Zai wala hakuwa na mapenzi kihiiivyo Dulla.

Pia ukichunguza kwa makini Zai haikuwa akili ya kawaida ku date na Dulla ni ile kukurupuka baada ya kutengana na bwana wake ndipo akaangukia kwa Dulla tena ndani ya muda mchache mnooo.

Masikini Dulla ,rasta kanyoleshwa akaamliwa anyoe kipara akanyoa,wigi kaveshwa lakini bado kapigwa kibuti 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Jamaa alikuwa kama zezeta kwa Zai , mwenyewe utamkuta kwenye show anawaambia mashabiki zake "Nikisema Zaiii mnasema Lisa,Zai Lisaaa ,Zai Lisaaa " leo sijui itakuwaje maana ana show lakini amejawa na mawazo mno.

View attachment 2696399
Chai
 
Back
Top Bottom