Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umebaka mada hizi mada sio za umri wako umri umekutupa mkono penda vya muda wako
NdioHuyu si ndo alimreplace Salama au namix mafaili?
una safari ndefu sana.Ni sahihi, kama kijana Upo na 23 unajiona bado mdogo naioa pole familia yako.
Halafu huwezi kuta watoto wanaosoma na wapo serious na shule wakafahamu watangazaji wasio na mchango.
Akafanye sasa vipindi serious kakuaAmeumaliza mwendo
Hapana no kabla ya 2011.Miaka 15 mbna muongo s jus tu nikiwa chuo 2011 ndio ameingia
Na ndio mana nimekuambia wewe nimpumbavu unaejikuta unajua kila kitu kusema humjui dulla ambua aliyefanya kazi kituo cha eatv miaka 15Simjui dulla, nawajua watangazaji wenye hadhi ya utangazaji, wakati Ivona Kamuntu anahama Star TV alifanya Press Mlimani city??
Baruan Muhuza amekaa over 15+ RFA alifanya sherehe na matangazo anapohamia Azam
Hao wahuni wenu mnawajua nyinyi wavaa Supra na Vest mitaani
Ila hawamfikii seleDulla Planet! Dulla Mbabe! Dulla Makabila!! Dullayo!
Aisee wakina Dulla mmetisha sana.
Mnywanyi wange Ulige??Damu yangu Sana huyo Jamaa , kipindi nipo Bukoba nilikuwa nasikiliza planet bongo kwa Sana na nilikuwa namkubali Sana Sami misago kinoma noma Sasa sijui huwa inakuaje hapa Kati hivi vipaji vinapotea .Sam misago sijui alipatwa na Jambo gani yaani.
Kabla yake walikuwepo Mussa Hussein, Sebbo piaFNL haijawahi kuwa kama ya Sam...
View attachment 2771149
SseboKutokana na kizazi chako una haki ya kusema hivyo....sisi wahenga kwenye FNL tulikuwa tunaluka na yule mganda aisee haikuwa show ya kumiss enzi hizo.
una safari ndefu sana.
Na ndio mana nimekuambia wewe nimpumbavu unaejikuta unajua kila kitu kusema humjui dulla ambua aliyefanya kazi kituo cha eatv miaka 15
Sawa.Kabla yake walikuwepo Mussa Hussein, Sebbo pia
Ndige. KyomaMnywanyi wange Ulige??
Mzee mzima umri umekutupa acha kubishana na vijana mitandaoniMpumbavu lazima amjue mpumbavu mwenzie, wapumbavu wawili wakikutana ni jambo jema.
Sasa moumbavu mwenzangu, unadhani kila mtu anamjua Dullah??
Dullah mnamjua nyie wavaa viduku