Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siamini kama Salim Kikeke anaweza kuwa mediocre kiasi hicho.Ila sijui may be kuna kitu kakiona Crown ila si juzi alikuwa eFM na nilisikia sauti yake kwenye radio akitangaza habari au ndio washashindwana?
Maana niliona video post insta akiwa kwenye studio za Crown.
Yule demu shape ya funguo wa planet bongo nae anaenda hapo crown kupoteza wakati
Wakishajipata ndio Kusaga anakuja kuwachuma.Joseph Kusaga anapowekeza pesa yake hataki redio yake iwe ndio chuo cha mafunzo.
Wanaotoka vyuoni waende Mbinga, Songea, Mtwara huko zipo redio nyingi za kujifunzia.
Mwanangu unamuonea wivu shem enda uchukue nafasi yake wewe basi..akupe pandikizi la nyamaYule demu shape ya funguo wa planet bongo nae anaenda hapo crown kupoteza wakati
Kuna yule Manzi na Mshikaji waliofariki kwa ajali huko Lindi yote kulitafuta tonge la ugali Samaki mezaniRedio za kujifunza zipo huko nanjilinji
Huon Farhan alianizia huko iringa cjui na Millard,dinnamarious hawa wote walianzia uchochoron ndo wakaja barabran Kwahyo wanaotoka chuo waaanzie huko huko
Naskia anatakiwa kulamba ukurugenzi TBC ana buy time tuSiamini kama Salim Kikeke anaweza kuwa mediocre kiasi hicho.
Kuna rafiki ni daktari wa binadamu Uingereza basi akipata likizo ya kuja Bongo huwa anaomba kwenda kufanya volunteer kwenye hospitali ya serikali, yani likizo yake atumie huku anaokowa na maisha ya binadamu.
Sasa maybe Salim Kikeke labda anapitia humo kuchamba mdomo Tu na kushare experience, hakuna redio ya kumlipa mshahara Kikeke labda Azam Media peke yake ndio wenye jeuri hiyo.
Naamini Kikeke ameahidiwa kitu serikalini sasa hivi anabuy time tu, binafsi naamini hivyo.
Kachukue wasomi wa CIvil pale UDSM uwaachie Daraja kama la kigamboni, mwanzo mwisho halafu uone kitakachotokea.SWALI: Je, hizi radio mpya haziwezi kuanza na kuibua watangazaji wapya wenye vipaji, yani ni mpaka wachukue watangazaji wakongwe wa-boost? Je, wasomi wa vyuo vya utangazaji hawatosholezi kuanzisha vipindi vya radio au ni mfumo wa Elimu ya utangazaji ni duni? Kwa nini watangazaji wale wale tu ndio wanagombaniwa na hizi media?
Bora iwe hivyo tu, Yule mlevi mwenzetu Ayoub hana jipya pale zaidi ya uchawa tu.Naskia anatakiwa kulamba ukurugenzi TBC ana buy time tu
Survival of the fittestJoseph Kusaga anapowekeza pesa yake hataki redio yake iwe ndio chuo cha mafunzo.
Wanaotoka vyuoni waende Mbinga, Songea, Mtwara huko zipo redio nyingi za kujifunzia.
Hahaha unamvuruga sana ukimtaja huyo jamaa,, maana bosi wao ni muathirika wa bwana Ali MsomaliMKuu Mbona thread zinazomhusu Bwana Ali Msomali huwa huonekanwi hata kutia Pua?
Hahaha unamvuruga sana ukimtaja huyo jamaa,, maana bosi wao ni muathirika wa bwana Ali Msomali