Dullah Planet(EARADIO/EATV) weka wazi WCB wamekukosea nini?

acha ujinga dula sio dj na kwanza dj hajipangii playlist

We kwa nn usiwaulize hao wasafi kwa nn nyimbo zao hazichezwi kabla ya kuja ku blame radio nzima na tv nzima myb wcb watakua na jibu?

kama una nia njema na wasanii kwa nn usianze na jide na rubi ambao nyimbo zao Zina miaka hazichezwi na kituo B?

punguza unafki wewe
iv mtu unaanzaje ku blame kitu uschokijua hapo m ndo nachokaga na ushabiki mandazi
af umen'gan'gana na dula as if yeye ndio mtangazaji pekee kwe radio
some tyms naeza nkaamini wasafi wanawalipa mchafue watu
anyway so what?
 
tuzzo zilkua znaitwaje?
wavoendaga mtv wanakua na contract ya makampuni wadhamini wa huko?
Ujinga na kuto jitambua tuu sjaona maali tuzo znaitwa Coca-Cola au vodacom!!!! Tuzo zinaitwa eatv awards
 
Yaan kila MTU anatumia jina LA mond kuweka vibifu ujinga,wanapoteza mda WCB upige nyimbo usipige utajua mwenyewe na kwa diamond utampiga tu maake yupo kwenye matangazo km cocacola sasa ukijidai unachuki na mond lazima ujampe,ukifikq nyumbn kwako watt wako wanacheza ngororo,mama anaimba Salome,aunt ana Chibu perfume,wadogo zako wanakula diamond karanga
 
Maelezo meengi kama umetumwa, jambo la msingi kama wamedharauliana kwe masuala ya mpunga ili awapawambe je? Najua mleta mada unatumika kama toilet paper tu wakipatana huna dili wakishindwana unadili mmbea.
 
Ushasema kuna tv na radio stations nyingi na umeenda mbali kwa kutuaminisha kua EATV na EA Radio kwa sasa hawana nguvu kama E-fm sasa kwa nini unalalama unataka wapige ngoma za WCB wakati hawana nguvu ingekua Majogoo fm ya Njombe au Mashujaa fm ya Lindi mngelalama ivi,inawezekana hata unaemtetea na yeye aliropoka kama wewe kua hawana nguvu ya kumpandisha au kumshusha mnatakiwa muwe na adabu na media house zote maana wasanii wanavimba ila wakivimbiwa mbio kujiliza na kutafuta huruma naona hadi Wambua anawatoa kamasi.
Msingi wa ubora wa msanii unaanzia home ukisema wewe unawaza Mtv,Soundcity na BET na unataka uwapangie watu aya ndio matokeo yake najua mashabiki wa kweli wa Diamond wanajua nini kipo nyuma ya balaa hili wote wamekosea nyambafu zao.
 
Kwan kushiriki izo tunzo ilikuwa lazima maana kwanza zilikuwa za kujipendekeza.,..au ww maana ya neno kujipendekeza hulijui mkuu

Kushiriki haikua lazima,na wao kupiga nyimbo za WCB sio lazima pia mbona mnawapangia wakati WCB hawakutaka kupangiwa acheni double standard basi.
 
wapige wasipige diamond bado mkubwa kuliko EATV.
Unamaanisha Diamond mkubwa kuliko Mengi? Mengi anauwezo wa kumfanya Diamond houseboy wake na akamlipa pesa ndefu kuliko anayopata kwenye mziki
 
Huyo Domo nyimbo zake zilikuwa hazipigwi hapo kitambo lakini bado anatisha.. Hao wasanii wanaochezwa nyimbo zao huko wamefika wapi kimafanikio ya kimuziki? (harmorapa, baraka da prince n.k)

Ukweli utabaki palepale, kituo chenye nguvu ni clouds pekee maana wale watu msaada wao hauishii kwenye kupiga nyimbo pekee hadi shows, na deals mbalimbali (Mf. Perfume za Chibu limepigwa collable Kusaga na Domo, Usiku wa kuamkia leo Domo kapiga show Rwanda huko iliyoandaliwa na Clouds)

Hao walalanjaa Eatv ni kama kitumbua kikikosekana unakula sambusa ila Clouds ni Chumvi na ndio alikojishkiza huyo Domo, hajatetereka na hawezi kutetereka kisa Eatv..
 

Na ndivyo Management ya Mondi inavyofikiria namna hii. Wrong!

Pamoja na ukweli kuwa Clouds inaushawishi zaidi, ila ni busara kwa msanii kuheshimu vyombo vyote vya habari hata kama vingine ni vichanga namna gani, sembuse EATV/RADIO!

Haohao Clouds, wanaweza kumgeuka jamaa na akakosa pa kukimbilia. Unakumbuka fiesta ya mwaka jana walimchunia kimtindo kupiga nyimbo zake kwa sababu alikataa kushiriki shughuli zao? Wanaweza kumfanya mtumwa vilevile, wakamlazimisha akubali matakwa yao wakijua kuwa hawezi kukataa kwani hana mawasiliano mazuri na vituo vingine.

Kama ni mjanja, atafute suluhu sasa. Maandiko matakatifu yanasema "Tafuteni kwa bidii kuwa na amani na watu wote,,,," na "Ajidhaniaye kuwa amesimama na aangalie asianguke,,,"
 
Kila mwenye kujikweza atashushwa asema Bwana Mungu wa majeshi
 
Msiwalaumu sana hao dabiliusibii na huyo Abdallah wote ni watoto wanakua
 
Eatv/radio ni vyombo vikubwa na vikongwe sana hapa nyumban, mond inabid atumie busara kutatua matatizo aliyonayo na hiyo media sabab yeye hatawika miaka yote, ila eatv itaendelea kuwepo, 2kumbuke hapo nyuma kulikua na wasanii wakubwa 2 mr. Nice, ferouz, mb dogy, matonya ......nk na nyimbo zao zilikua zinapigwasaa hapo, ila saiv wako wap? Inabid ajue kua kuna kusiz akiwa vizur na media kubwa kama hiyo watafanya kumrespect miaka ijayo kama ilivyo kua juz kwenye heshima ya bongo fleva, wasanii kama dudubaya, juma nature, zanton.... Nk walipaform
 
Unakumbuka fiesta ya mwaka jana walimchunia kimtindo kupiga nyimbo zake kwa sababu alikataa kushiriki shughuli zao?
Sababu ya kutoshiriki Fiesta ilikuwa kampuni ya Tigo ndio ilikuwa inadhamini show na yeye ana mkataba na Voda.

Kwa kifupi hapa TZ hawezi kuhudhuria shughuli yeyote kama imeandaliwa na kampuni ya simu tofauti na Voda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…