elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,261
- 9,733
Maneno gani hayo?Iyo ndo ilichochea zaid mkuu..sabb eatv walitaka kumaliza ubishi au.kushindanisha zile tuzo kati ally kiba na diamond pia wasafi walitoa maneno sio mazur kwa.uongozi wa eatv ple.walipoombwa kushiriki uchukuaji form
Mbona kabla ya hizo tuzo diamond na rayvanny waliitwa FNL na walisifia kuhusu hizo tuzo na wakawa wanawasisitiza wasanii wakachukue form.