Dullah Planet(EARADIO/EATV) weka wazi WCB wamekukosea nini?

Dullah Planet(EARADIO/EATV) weka wazi WCB wamekukosea nini?

Wasalaam wana jamvi.
Bila shaka hakuna ubishi kabisa moja ya vyombo vya habari ambavyo vimekuwa na mchango mkubwa katika kufanikisha muziki na tasnia ya muziki wa kizazi kipya hatuwezi kivisahau vyombo kama EATV na EARADIO na wala si vya kubezwa...

Pamoja na hivi vyombo kuwa na matatizo na wasanii ambayo kimsingi yanaweza kutokea kwakuwa wanaofanya kazi wote ni binadamu na hawajakamilika kabisa.....lakini tusisahau kuwa vyombo hivi vingi au karibu vyote vina sifa ya kupenda kuabudiwa lakini mara zote matatizo yao na wasanii humalizwa kwa kuongea hasa kwa hawa EARADIO/EATV.

Ni wazi kabisa EARADIO/EATV ndio lilikuwa kimbilio la wasanii wengi maana walijiweka mbali sana na migogoro na wasanii na kwakweli kipindi cha nyuma walijizolea umaarufu mkubwa sana kwa sababu ya utaratibu mzuri wa kutatua migogoro yao na wasanii.......
Hivi karibuni EATV/EARADIO wamekuwa wakilalamikiwa sana tena sana kuwa hawachezi nyimbo za Diamond na wamekwenda mbele zaidi hawachezi nyimbo zote za WCB.... katika ya watu waliokuwa wana watetea hawa EARADIO/EATV mimi nilikuwa mmoja wao kwani niliamini hawana kosa lolotea na wanayo hoja na kuna kipindi walikuwa wanapinga nyimbo za WCB.
Lakini baada ya kufanya utafiti nimejiridhisha kabisa EARADIO/EATV ni chombo kilicho jaa wanafiki waliotukuka kwa sababu pamoja na kuwa na chuki na msanii fulani hawataki kuweka wazi kama wenzao clouds ambao ni wazi kuwa kila mtu anajua kuna wasanii hawapatani nao...

Kibaya zaidi EATV/EARADIO sasa wamekuwa wakiongozwa na fikra na chuki za Abdallah Hamisi Ambua ambaye yeye na kundi lake pale EATV/EARADIO huokoteza vihabari kwenye mitandao ambavyo vinalengo la kumchonganisha Diamond na watu na wao huvifanya topic ili Diamond na wale wanaomzunguka waonekane wabaya na pamoja na watu wa karibu wa Diamond kujaribu kutatua migogoro hiyo lakini Dullah yeye huwa ndio kama mmiliki wa vituo hivyo....
Kwa sasa hawachezi nyimbo za WCB kabisa na hii ni kutokana na chuki za Dullah kwa Diamond...

Dullah anatakiwa kujua kuwa kwa sasa vyombo vya habari ni vingi hata wasipo cheza nyimbo za Diamond na WCB bado zita hit kwani ni ukweli ulio wazi EARADIO kwa sasa haina nguvu kuzidi Clouds fm na E-fm pamoja ina frequency mbili....na uongozi wa Earadio na EATV wasipo angalia Dullah na timu yake watawaharibia biashara kwaajili ya chuki zao binafsi...
Dullah anatakiwa kujua kuwa hata yeye alipo hapo alisaidiwa sana tena kupitia Salama Jabir anatakiwa kujua kama yeye alisaidiwa atumie nafasi yake kusaidia wengine.

Kama ni hoja ya kutoshiriki tunzo zao wanatakiwa kutwambia kama ni WCB peke yao ndio hawakushiriki au lah...lakini bado si hoja ya kumchukia msanii wakati tunzo ilikuwa si lazima au wajitazame upya....

Naamini EATV/EARADIO wanaweza tafuta njia nzuri ya kutatua matatizo yao na wasanii hawa kwa njia nzuri tuu na sio kwa chuki hizi za wazi wazi kwani hazimsaidii yeyote yule na wote wana chakupoteza kwenye hili....Hakuna watu wanaofurahia migogoro bali wengi wanapenda amani.

Wasalaam
Ulichokisema ni kweli kabisa,ila kwangu mimi naona kwa wao KUTOKUPIGA NYIMBO ZA WASANII WA WCB SI TATIZO,LAKINI TATIZO KUBWA WALILONALO HAO EATV/RADIO KUWA WACHONGANISHI BADALA YA KUBAKIA KIMYA KAMA RADIO AU TV ZINGINE ZINAVYOKUWAGA. Kwa mfano,Clouds wanapoamua kutokupiga nyimbo za msanii fulani huwa HATA HABARI ZAKE HAWAZIZUNGUMZI ZIWE MBAYA AU NZURI,LAKINI HAWA WENYEWE WAMEONA KUTOKUPIGA NYIMBO ZA DIAMOND HAWATAFANIKIWA LENGO LAO,BADALA YAKE WAMEAMUA KUTOKUPIGA NYIMBO ZA WCB KISHA KUCHUKUA HABARI MBAYA ZA DIAMOND (WCB) NDIO ZINAZOKUWA HOJA ZAO,LAKINI HABARI NZURI ZA DIAMOND (WCB)HAWANA MPANGO NAZO.
 
Mashabiki ndo mnatengeneza chuki siku hizo alafu wahusika wanafuata
 
Hatupangiwi kazi,Kodi yulipe sisi,kuajiri tuajiri sisi,Alafu utupangie nyimbo upendazo? Rudi kwenu matombo kachague nyimbo kwenye ile redio jamii!

Eti za Diamond na WCB!
Wanachokifanya EATV/RADIO si tu KUTOKUPIGA NYIMBO ZA WCB,ILA WENYEWE WAMEENDA MBALI ZAIDI KWA KUCHAGUA HABARI ZA KICHONGANISHI (na mara nyingi si za kweli) NDIO WANAZIFANYA MADA,LAKINI HABARI NZURI ZA WCB HAWANA MPANGO NAZO KITU AMBACHO NDIO WANAKOSEA KAMA WAMEAMUA KUTOKUPIGA NYIMBO ZA WCB WAACHANE KABISA NA HABARI ZOTE ZINAZOWAHUSU WCB HIVI NDIVYO INAVYOKUWA DUNIANI KOTE, UMENIKERA SIPIGI NYIMBO ZAKO NA SITANGAZI HABARI ZAKO ZOTE ZIWE MBAYA AU NZURI.
 
Ndio wakina nani hao wcb.
 
Hatupangiwi kazi,Kodi yulipe sisi,kuajiri tuajiri sisi,Alafu utupangie nyimbo upendazo? Rudi kwenu matombo kachague nyimbo kwenye ile redio jamii!

Eti za Diamond na WCB!
Mleta mada wala hawapangii kazi,ila wanachokifanya wanakosea. Kama umeamua KUTOKUPIGA NYIMBO ZANGU SI TATIZO,LAKINI TATIZO WALILONALO HAO EATV/RADIO NI TABIA YAO MBAYA YA "KICHONGANISHI" YA KUCHAGUA HABARI MBAYA ZA WCB (na mara nyingi si za kweli) NA KUZIFANYA NDIO MADA ZAO,LAKINI HABARI NZURI ZA WCB KWAO HAZIWAHUSU.Kama umeamua kutokupiga nyimbo zangu,basi achana hata na habari zangu wala usiwe unanitaja kabisa liwe baya au zuri langu katika radio/tv yako.
 
Ulichokisema ni kweli kabisa,ila kwangu mimi naona kwa wao KUTOKUPIGA NYIMBO ZA WASANII WA WCB SI TATIZO,LAKINI TATIZO KUBWA WALILONALO HAO EATV/RADIO KUWA WACHONGANISHI BADALA YA KUBAKIA KIMYA KAMA RADIO AU TV ZINGINE ZINAVYOKUWAGA. Kwa mfano,Clouds wanapoamua kutokupiga nyimbo za msanii fulani huwa HATA HABARI ZAKE HAWAZIZUNGUMZI ZIWE MBAYA AU NZURI,LAKINI HAWA WENYEWE WAMEONA KUTOKUPIGA NYIMBO ZA DIAMOND HAWATAFANIKIWA LENGO LAO,BADALA YAKE WAMEAMUA KUTOKUPIGA NYIMBO ZA WCB KISHA KUCHUKUA HABARI MBAYA ZA DIAMOND (WCB) NDIO ZINAZOKUWA HOJA ZAO,LAKINI HABARI NZURI ZA DIAMOND (WCB)HAWANA MPANGO NAZO.
Hakika...
 
Dulla hausiki kwenye hilo tatizo ni la kimenejiment kumbuka hawa jamaa wamewahi kuandaa tuzo la wcb walichomoa kushiliki hizo tuzo tatizo lilianzia hapo
 
Ukifanya utafiti kama mimi utagundua kuwa Dullah pamoja kuwa ni mtangazaji wa kawaida lakini anao ushawishi mkubwa pale Earadio
Unapelekwa kwa hisia tu,nje dullah kua Mtangazaji yeye mfanyakazi wa kawaida kabisaa hauna ushawishi hata chembe.
 
bro hoja yako inaukweli lakin kusema dilla ndo chanzo sio kweli!inakua kilichomuondoa dj mafuvu eatv?.issue ulikua Ni utatatibu WA eatv kuwa Na playlist Yao hutakiwi kupoga wimbo ambao haupo kwenye playlist Yao,mafuvu alikiuka Na akaonekana mtovu WA nidham akapigwa chin,ishu ni uongoz Na sio dula
 
Someni hiki na muelewe...

Eatv walianzisha Tuzo za Watu .. Neno lao lilikuwa Jipendekeze.. (Maana ake jipendelee wewe maana wao wakichagua itaonekana wamepanga) wasanii wengi walijitokeza kwenda kuchukua form wakajipendejeza kwenye vipengele walivoona vinafaa.. Hao wauza karanga wakajiona wao watabembelezwa .. Walipigiwa simu mara nyingi tu kwa ajili ya uwepo wao.. Mameneja nao wakajifanya ni mameneja pesa .. Mwisho wake tuzo zikafika wao hawakuchukua form ikaonekana wana dharau kile kinachoanzishwa kwa ajili ya wasanii sababu wao wanajiita intaneshino.. Wakapigwa Ban izo ni taratibu tu za chombo cha habari ukijifanya wewe mjuaji wao wanajua sana.. Dula hasilaumiwe yuko kazini..

Ova
 
Hawa eatv/radio na WCB ulianzia tokea kwenye zile tuzo zao eatv awards zilizofanyika mwaka jana Dec,..sabb wasafi.hawakushiliki ktk zoez lao la tuzo km walisusia iv sasa kile kitendo kiliwauzi wale jamaa eatv ndomana mpk leo si tv wala redio wanapiga nyimbo zao.
 
labda me na angalia EATV ya kenya maana hua hua naziona hizo nyimbo za WCB
 
Someni hiki na muelewe...

Eatv walianzisha Tuzo za Watu .. Neno lao lilikuwa Jipendekeze.. (Maana ake jipendelee wewe maana wao wakichagua itaonekana wamepanga) wasanii wengi walijitokeza kwenda kuchukua form wakajipendejeza kwenye vipengele walivoona vinafaa.. Hao wauza karanga wakajiona wao watabembelezwa .. Walipigiwa simu mara nyingi tu kwa ajili ya uwepo wao.. Mameneja nao wakajifanya ni mameneja pesa .. Mwisho wake tuzo zikafika wao hawakuchukua form ikaonekana wana dharau kile kinachoanzishwa kwa ajili ya wasanii sababu wao wanajiita intaneshino.. Wakapigwa Ban izo ni taratibu tu za chombo cha habari ukijifanya wewe mjuaji wao wanajua sana.. Dula hasilaumiwe yuko kazini..

Ova
Umeongea kwa jinsi vile uelewa wako ulivyofikia kikomo cha kuelewa si vibaya kila mtu ana uhuru wa kuongea,lakini JITAHIDI SANA KUJUA UKWELI KULIKO KUPELEKWA NA HISIA,TATIZO SI KUTOKUPIGA NYIMBO ZAO (maana hiyo ipo duniani kote msanii ukizinguana na media wenyewe hawachezi nyimbo zako) ILA TATIZO LA HAWA JAMAA WANAPENDA SANA TENA SANA KUONGELEA HABARI ZA ZA UONGO KUHUSU WCB,LAKINI ZILE ZA UKWELI NA NZURI HAWAONGELEI,SASA KAMA UMEAMUA KUTOKUPIGA NYIMBO ZANGU KWANINI UNIONGELEE TENA UNANIONGELEA KWENYE MABAYA TU AMBAYAO SI YA KWELI MBONA MAZURI YANGU UYAONGELEI ????
 
Someni hiki na muelewe...

Eatv walianzisha Tuzo za Watu .. Neno lao lilikuwa Jipendekeze.. (Maana ake jipendelee wewe maana wao wakichagua itaonekana wamepanga) wasanii wengi walijitokeza kwenda kuchukua form wakajipendejeza kwenye vipengele walivoona vinafaa.. Hao wauza karanga wakajiona wao watabembelezwa .. Walipigiwa simu mara nyingi tu kwa ajili ya uwepo wao.. Mameneja nao wakajifanya ni mameneja pesa .. Mwisho wake tuzo zikafika wao hawakuchukua form ikaonekana wana dharau kile kinachoanzishwa kwa ajili ya wasanii sababu wao wanajiita intaneshino.. Wakapigwa Ban izo ni taratibu tu za chombo cha habari ukijifanya wewe mjuaji wao wanajua sana.. Dula hasilaumiwe yuko kazini..

Ova
Si walisema watu wajipendekeze sasa wao kama hawakuona kuwa wanafaa kushindanishwa kuna tatizo?
Ina maana ni wao tu ambao hawakuchukua form, mbona wasanii wengi hawakuchukua kwanini iwe wcb tu ndiyo waonekane wamefanya kosa?
 
Jamaa umekuja Jijini lini? ugomvi ulianzia hapa sikumbuki ni lini haswa ila Diamond alipost instagram kwamba kwa level alioifikia hategemei TV za bongo kupromote kazi zake sasa hivi amejikita zaidi Instagram etc kwenye social media na international kupromote kazi zake sasa hapo ndo akina sam misago na dullah wakamind na Diamond amekaza kweli sasa jamaa ndo mpaka leo bifu linaendelea
 
bro hoja yako inaukweli lakin kusema dilla ndo chanzo sio kweli!inakua kilichomuondoa dj mafuvu eatv?.issue ulikua Ni utatatibu WA eatv kuwa Na playlist Yao hutakiwi kupoga wimbo ambao haupo kwenye playlist Yao,mafuvu alikiuka Na akaonekana mtovu WA nidham akapigwa chin,ishu ni uongoz Na sio dula
Hata dj ommy crazy kawakimbia.... Kuhusu Dullah sijamsingizia fanya utafiti hadi clip zipo
 
Back
Top Bottom