Dullah Planet(EARADIO/EATV) weka wazi WCB wamekukosea nini?

Dullah Planet(EARADIO/EATV) weka wazi WCB wamekukosea nini?

Dullah sio wa kulaumiwa sana, inawezekana ni maswala ya mikataba, kati ya WCB na EATV/EARADIO.

Tutaziangalia nyimbo zao kwa kuzi-download Wasafi.com

Nadhani hili ndilo lengo kubwa la WCB.
 
Hicho ni chombo cha biashara na sio cha msaada, unakosea sana kumu attack mtu, dullah ni presenter tu sio mkuu wa vipindi, hana mamlaka hayo, usifikiri kwamba watangazaji wanaamua tu kupiga nyimbo au kutopiga, kila nyimbo inayoenda hewani na imeenda mara ngapi per day inakuwa counted, media zote kubwa huwa zina watu wanaondaa playlist, Dulah anaongea kile tu alichoambiwa aongee, sijui kama unafahami jinsi media zinavofanya kazi.

Anyway, Clouds wana karibia miaka mitano tangu waache kupiga nyimbo za lady jaydee, ni uhamuzi wao lakini media zingine zinapiga, mbona hulalamiki redio imani hawapigi nyimbo ya msanii yoyote? Hayo ni maamuzi ya media husika na sio lazima......kumbuka pia maneno ya diamond aliyoyasema kuhusu eatv na earedio, aliongea shit kwa vile ye ni msanii mkubwa na akajiona ni mkubwa kuliko hiyo media, so ulitaka eatv wafanyeje? Wakampigie magoti au wakamuombe awape nyimbo zake wapige?
 
Umekiri kuwa Vituo ni vingi vinavyoweza cheza nyimbo za hao WCB.


Sasa povu la nini kwa wao kutocheza nyimbo hizo?


Wanayo haki ya kuamua wapige au wasipige nyimbo hizo endapo wanasababu zao za msingi kwao.
 
ujumbe umefika. mzee mengi ataingilia kati hili
 
Lakini ilikuwa si hoja kumchukia msanii wakati tunzo ilikuwa si lazima.
Mwisho wa kunukuu.
Kwani kupiga nyimbo ya msanii n lazima hapo ea radio???

2. Wcb bado Zita hit kwani n ukweli ulio wazi EA RADIO kwa sasa haina nguvu kuzidi clouds na E fm radio pamoja ina frequency mbili.
Sasa Kama haina nguvu kwa nini unalazimisha wapige hizo nyimbo??


Nadhani mleta mada ulivyoleta mada yako ulikuja na upande wako direct kwa hao wcb. Umetumia hisia Sana pasipo akili kuwasilisha mada yako hii japo una lengo Zuri la aman kwa upande wa music.
 
Huyo Dullah anaelalamikiwa ni mtangazaji wa kawaida tu. Je yeye ndo ana mamlaka ya kuchagua nyimbo gani zipigwe na zipi zisipigwe? Je yeye ndo anatangaza vipindi vyote? Mimi nadhani lawama zinapelekwa kwa mtu ambae hausiki maana sisi tunawajua watangazaji tu lakini kuna other staff members ambao wao ndo wanafanya decisions.

Otherwise labda useme kama Dullah ana cheo kingine hapo apart from utangazaji.
Umemaliza mkuu
 
Wasalaam wana jamvi.
Bila shaka hakuna ubishi kabisa moja ya vyombo vya habari ambavyo vimekuwa na mchango mkubwa katika kufanikisha muziki na tasnia ya muziki wa kizazi kipya hatuwezi kivisahau vyombo kama EATV na EARADIO na wala si vya kubezwa...

Pamoja na hivi vyombo kuwa na matatizo na wasanii ambayo kimsingi yanaweza kutokea kwakuwa wanaofanya kazi wote ni binadamu na hawajakamilika kabisa.....lakini tusisahau kuwa vyombo hivi vingi au karibu vyote vina sifa ya kupenda kuabudiwa lakini mara zote matatizo yao na wasanii humalizwa kwa kuongea hasa kwa hawa EARADIO/EATV.

Ni wazi kabisa EARADIO/EATV ndio lilikuwa kimbilio la wasanii wengi maana walijiweka mbali sana na migogoro na wasanii na kwakweli kipindi cha nyuma walijizolea umaarufu mkubwa sana kwa sababu ya utaratibu mzuri wa kutatua migogoro yao na wasanii.......
Hivi karibuni EATV/EARADIO wamekuwa wakilalamikiwa sana tena sana kuwa hawachezi nyimbo za Diamond na wamekwenda mbele zaidi hawachezi nyimbo zote za WCB.... katika ya watu waliokuwa wana watetea hawa EARADIO/EATV mimi nilikuwa mmoja wao kwani niliamini hawana kosa lolotea na wanayo hoja na kuna kipindi walikuwa wanapinga nyimbo za WCB.
Lakini baada ya kufanya utafiti nimejiridhisha kabisa EARADIO/EATV ni chombo kilicho jaa wanafiki waliotukuka kwa sababu pamoja na kuwa na chuki na msanii fulani hawataki kuweka wazi kama wenzao clouds ambao ni wazi kuwa kila mtu anajua kuna wasanii hawapatani nao...

Kibaya zaidi EATV/EARADIO sasa wamekuwa wakiongozwa na fikra na chuki za Abdallah Hamisi Ambua ambaye yeye na kundi lake pale EATV/EARADIO huokoteza vihabari kwenye mitandao ambavyo vinalengo la kumchonganisha Diamond na watu na wao huvifanya topic ili Diamond na wale wanaomzunguka waonekane wabaya na pamoja na watu wa karibu wa Diamond kujaribu kutatua migogoro hiyo lakini Dullah yeye huwa ndio kama mmiliki wa vituo hivyo....
Kwa sasa hawachezi nyimbo za WCB kabisa na hii ni kutokana na chuki za Dullah kwa Diamond...

Dullah anatakiwa kujua kuwa kwa sasa vyombo vya habari ni vingi hata wasipo cheza nyimbo za Diamond na WCB bado zita hit kwani ni ukweli ulio wazi EARADIO kwa sasa haina nguvu kuzidi Clouds fm na E-fm pamoja ina frequency mbili....na uongozi wa Earadio na EATV wasipo angalia Dullah na timu yake watawaharibia biashara kwaajili ya chuki zao binafsi...
Dullah anatakiwa kujua kuwa hata yeye alipo hapo alisaidiwa sana tena kupitia Salama Jabir anatakiwa kujua kama yeye alisaidiwa atumie nafasi yake kusaidia wengine.

Kama ni hoja ya kutoshiriki tunzo zao wanatakiwa kutwambia kama ni WCB peke yao ndio hawakushiriki au lah...lakini bado si hoja ya kumchukia msanii wakati tunzo ilikuwa si lazima au wajitazame upya....

Naamini EATV/EARADIO wanaweza tafuta njia nzuri ya kutatua matatizo yao na wasanii hawa kwa njia nzuri tuu na sio kwa chuki hizi za wazi wazi kwani hazimsaidii yeyote yule na wote wana chakupoteza kwenye hili....Hakuna watu wanaofurahia migogoro bali wengi wanapenda amani.

Wasalaam

Weka huo uchochezi

Kwanza wcb ndio nini??
 
Hicho ni chombo cha biashara na sio cha msaada, unakosea sana kumu attack mtu, dullah ni presenter tu sio mkuu wa vipindi, hana mamlaka hayo, usifikiri kwamba watangazaji wanaamua tu kupiga nyimbo au kutopiga, kila nyimbo inayoenda hewani na imeenda mara ngapi per day inakuwa counted, media zote kubwa huwa zina watu wanaondaa playlist, Dulah anaongea kile tu alichoambiwa aongee, sijui kama unafahami jinsi media zinavofanya kazi.

Anyway, Clouds wana karibia miaka mitano tangu waache kupiga nyimbo za lady jaydee, ni uhamuzi wao lakini media zingine zinapiga, mbona hulalamiki redio imani hawapigi nyimbo ya msanii yoyote? Hayo ni maamuzi ya media husika na sio lazima......kumbuka pia maneno ya diamond aliyoyasema kuhusu eatv na earedio, aliongea shit kwa vile ye ni msanii mkubwa na akajiona ni mkubwa kuliko hiyo media, so ulitaka eatv wafanyeje? Wakampigie magoti au wakamuombe awape nyimbo zake wapige?
Nimefanya utafiti na nimegundua kuwa Dullaha ndio chanzo kikuu kwa nyimbo za WCB kutopigwa kwenye vituo vyao..
 
Mwambie diamond aachane name mambo ya kisiasa, wakati viombo vya habari vilimsusa bashite,wakati bashite anawanyanyasa wanamziki yeye diamond kwanza ndio alikuwa akimpa Promo bashite.
 
Mwambie diamond aachane name mambo ya kisiasa, wakati viombo vya habari vilimsusa bashite,wakati bashite anawanyanyasa wanamziki yeye diamond kwanza ndio alikuwa akimpa Promo bashite.
unakula na anaekula na wewe..kwani hujui bashite ndo mlezi wa wcb au umejitoa ufahamu
 
Wasalaam wana jamvi.
Bila shaka hakuna ubishi kabisa moja ya vyombo vya habari ambavyo vimekuwa na mchango mkubwa katika kufanikisha muziki na tasnia ya muziki wa kizazi kipya hatuwezi kivisahau vyombo kama EATV na EARADIO na wala si vya kubezwa...

Pamoja na hivi vyombo kuwa na matatizo na wasanii ambayo kimsingi yanaweza kutokea kwakuwa wanaofanya kazi wote ni binadamu na hawajakamilika kabisa.....lakini tusisahau kuwa vyombo hivi vingi au karibu vyote vina sifa ya kupenda kuabudiwa lakini mara zote matatizo yao na wasanii humalizwa kwa kuongea hasa kwa hawa EARADIO/EATV.

Ni wazi kabisa EARADIO/EATV ndio lilikuwa kimbilio la wasanii wengi maana walijiweka mbali sana na migogoro na wasanii na kwakweli kipindi cha nyuma walijizolea umaarufu mkubwa sana kwa sababu ya utaratibu mzuri wa kutatua migogoro yao na wasanii.......
Hivi karibuni EATV/EARADIO wamekuwa wakilalamikiwa sana tena sana kuwa hawachezi nyimbo za Diamond na wamekwenda mbele zaidi hawachezi nyimbo zote za WCB.... katika ya watu waliokuwa wana watetea hawa EARADIO/EATV mimi nilikuwa mmoja wao kwani niliamini hawana kosa lolotea na wanayo hoja na kuna kipindi walikuwa wanapinga nyimbo za WCB.
Lakini baada ya kufanya utafiti nimejiridhisha kabisa EARADIO/EATV ni chombo kilicho jaa wanafiki waliotukuka kwa sababu pamoja na kuwa na chuki na msanii fulani hawataki kuweka wazi kama wenzao clouds ambao ni wazi kuwa kila mtu anajua kuna wasanii hawapatani nao...

Kibaya zaidi EATV/EARADIO sasa wamekuwa wakiongozwa na fikra na chuki za Abdallah Hamisi Ambua ambaye yeye na kundi lake pale EATV/EARADIO huokoteza vihabari kwenye mitandao ambavyo vinalengo la kumchonganisha Diamond na watu na wao huvifanya topic ili Diamond na wale wanaomzunguka waonekane wabaya na pamoja na watu wa karibu wa Diamond kujaribu kutatua migogoro hiyo lakini Dullah yeye huwa ndio kama mmiliki wa vituo hivyo....
Kwa sasa hawachezi nyimbo za WCB kabisa na hii ni kutokana na chuki za Dullah kwa Diamond...

Dullah anatakiwa kujua kuwa kwa sasa vyombo vya habari ni vingi hata wasipo cheza nyimbo za Diamond na WCB bado zita hit kwani ni ukweli ulio wazi EARADIO kwa sasa haina nguvu kuzidi Clouds fm na E-fm pamoja ina frequency mbili....na uongozi wa Earadio na EATV wasipo angalia Dullah na timu yake watawaharibia biashara kwaajili ya chuki zao binafsi...
Dullah anatakiwa kujua kuwa hata yeye alipo hapo alisaidiwa sana tena kupitia Salama Jabir anatakiwa kujua kama yeye alisaidiwa atumie nafasi yake kusaidia wengine.

Kama ni hoja ya kutoshiriki tunzo zao wanatakiwa kutwambia kama ni WCB peke yao ndio hawakushiriki au lah...lakini bado si hoja ya kumchukia msanii wakati tunzo ilikuwa si lazima au wajitazame upya....

Naamini EATV/EARADIO wanaweza tafuta njia nzuri ya kutatua matatizo yao na wasanii hawa kwa njia nzuri tuu na sio kwa chuki hizi za wazi wazi kwani hazimsaidii yeyote yule na wote wana chakupoteza kwenye hili....Hakuna watu wanaofurahia migogoro bali wengi wanapenda amani.

Wasalaam
Radio/TV yao kodi wanalipa wao, mishahara wanalipa wao, nyimbo za kucheza wanachagua wao msiwapangie cha kufanya. Waambieni uhuru fm, radio tanzania, tbc wacheze nyimbo za wcb
 
Hatupangiwi kazi,Kodi yulipe sisi,kuajiri tuajiri sisi,Alafu utupangie nyimbo upendazo? Rudi kwenu matombo kachague nyimbo kwenye ile redio jamii!

Eti za Diamond na WCB!
 
Back
Top Bottom