Victor wa happy
JF-Expert Member
- Apr 24, 2013
- 11,660
- 11,654
TID kadanganya, nakumbuka kisa hiki ni sababu tid alimwambia dully pale kinondoni wee dully mjanja mzima unatembelea gari la kizamani brevis, dully akamaind akamwambia tena kwenye video yako sifanyi, kweli baada ya siku kadhaa dully akiambiwa kuhusu video akawa anamjibu kunya tid, tid alichokifanya ani kwenda studio tena akafuta verse ya dully akaweka verse yake nyingine kwahiyo nyimbo hiyo confidence sasa hivi ipo sauti ya tid na joh makini tuu dully kafutwaAkiongea kwenye Planet Bongo ya East AFrica Radio, TID amesema Dully Sykes hakupenda kitendo cha Joh Makini kuwepo kwenye collabo yao ya wimbo wa confidence.
“Kwanza ile ngoma mwenyewe ndio alitaka kuwepo baada ya kuisikia, akasema mnyama hii ngoma kali naomba niweke sauti na mimi, nikamkubalia tukarekodi, lakini alivyokuja kusikia Joh Makini yupo akanipigia simu tena usiku, akaanza kunifokea, tena imagine ngoma yangu ananifokea..TID vp unaweka watoto wa Arusha? ndo unafanya nini?” , alisema TID,
TID aliendelea kwa kusema kuwa licha ya hilo baada ya kuandaa show ya ku-launch audio, alivyoona na Joh Makini anaperfom, akampigia Joh akimwambia asikubali kufanya show bila kumlipa.
“Baada ya hapo akampigia Joh akamwambia Joh ile show kubwa usikubali kuperfom bila kukupa milioni tatu, baadaye Joh akaniambia kwamba bila mkwanja haparfom, nikamuuliza we habari hizo umezitoa wapi? akaniambia ni Dully kanambia, nikamwambia ungejua huyo Dully alimind kusikia we upo kwenye ngoma! bahati nzuri siku Dully ananipigia kina nNicotrak walisikia”, alisema TID.
TID aliendelea kusema kuwa Dully ana mambo ya kitoto hivyo anahitaji kuacha ushindani usiokuwa na faida, na kushindana kikazi.
Ahsante FaTid Malalamiko kibao kama mtoto wa kambo!
"....Mtoto smarter, John smarter,
Vile unanijali yan sina utata,
Watoto unipe, watoto smarter,
Umenikamilisha umenibadili status.."
Weuuussi
Uongo huu umeletwa kwa msaada wa watu wa Marekani.TID kadanganya, nakumbuka kisa hiki ni sababu tid alimwambia dully pale kinondoni wee dully mjanja mzima unatembelea gari la kizamani brevis, dully akamaind akamwambia tena kwenye video yako sifanyi, kweli baada ya siku kadhaa dully akiambiwa kuhusu video akawa anamjibu kunya tid, tid alichokifanya ani kwenda studio tena akafuta verse ya dully akaweka verse yake nyingine kwahiyo nyimbo hiyo confidence sasa hivi ipo sauti ya tid na joh makini tuu dully kafutwa
Ni ukweli kama unabisha utaona video ya confidence kama utaona sura ya dully au kusikia sauti yake, tid ameshamfuta na kisa ni dully alitaniwa kuhusu gari lakeUongo huu umeletwa kwa msaada wa watu wa Marekani.
Kariakoo ina milikiwa na wachaga hasa wakiboshoDully afahamu wenyeji wa Arusha wanamiliki biashara na sehemu kubwa ya 'kwao'Kariakoo
Dully wakawaida kuna siku nilikuwa Na wana Pin Point club.DJ kamtambulisha duly alikuwa amekaa kwenye kochi anakunywa na marafiki zake.Siunajuaa machali wa ARA hawa kumake some noise.Sipati picha angeluwa Spack Dawg katambulishwa.Chuga ukijifanya mjuaji watu wanakuvungia.arusha imewakosea nini hawa watoto wa mama
Tid ameshafuta verse na sauti yote ya dully kwenye ule wimbo confidence, kama unataka kuusikia ni check whatsapp kwa namba hii 0787535430 nikutumieTID naye malalamiko kwa wasanii wenzake daily hayaishi... dully naye apunguze tabia zake za kike kwanza kafunikwa mbaya kwenye hiyo ngoma ya confidence
Nitafute kwa whatsapp nikutumie hiyo nyimbo tid kaondoa verse na kila sehemu sauti ya dully iliposikika 0787535430Uongo huu umeletwa kwa msaada wa watu wa Marekani.
nyimbo inaitwaj mkuuNimtafakario nimegundua ni kiki tu hiyo, ila ni bonge la ngoma
Inaitwa confidence yupo tid joh na dully bonge moja ya hit itafutenyimbo inaitwaj mkuu