Dully Sykes acha ubaguzi

Dully Sykes acha ubaguzi

TID mwenyewe kabaki kichwa kikubwa mwili mdogo kama siafu.
 
Akiongea kwenye Planet Bongo ya East AFrica Radio, TID amesema Dully Sykes hakupenda kitendo cha Joh Makini kuwepo kwenye collabo yao ya wimbo wa confidence.

“Kwanza ile ngoma mwenyewe ndio alitaka kuwepo baada ya kuisikia, akasema mnyama hii ngoma kali naomba niweke sauti na mimi, nikamkubalia tukarekodi, lakini alivyokuja kusikia Joh Makini yupo akanipigia simu tena usiku, akaanza kunifokea, tena imagine ngoma yangu ananifokea..TID vp unaweka watoto wa Arusha? ndo unafanya nini?” , alisema TID,

TID aliendelea kwa kusema kuwa licha ya hilo baada ya kuandaa show ya ku-launch audio, alivyoona na Joh Makini anaperfom, akampigia Joh akimwambia asikubali kufanya show bila kumlipa.

“Baada ya hapo akampigia Joh akamwambia Joh ile show kubwa usikubali kuperfom bila kukupa milioni tatu, baadaye Joh akaniambia kwamba bila mkwanja haparfom, nikamuuliza we habari hizo umezitoa wapi? akaniambia ni Dully kanambia, nikamwambia ungejua huyo Dully alimind kusikia we upo kwenye ngoma! bahati nzuri siku Dully ananipigia kina nNicotrak walisikia”, alisema TID.

TID aliendelea kusema kuwa Dully ana mambo ya kitoto hivyo anahitaji kuacha ushindani usiokuwa na faida, na kushindana kikazi.
TID kadanganya, nakumbuka kisa hiki ni sababu tid alimwambia dully pale kinondoni wee dully mjanja mzima unatembelea gari la kizamani brevis, dully akamaind akamwambia tena kwenye video yako sifanyi, kweli baada ya siku kadhaa dully akiambiwa kuhusu video akawa anamjibu kunya tid, tid alichokifanya ani kwenda studio tena akafuta verse ya dully akaweka verse yake nyingine kwahiyo nyimbo hiyo confidence sasa hivi ipo sauti ya tid na joh makini tuu dully kafutwa
 
Duuh, inaonesha gem ya muzik inamabifu meng sana ya chinchin
 
TID kadanganya, nakumbuka kisa hiki ni sababu tid alimwambia dully pale kinondoni wee dully mjanja mzima unatembelea gari la kizamani brevis, dully akamaind akamwambia tena kwenye video yako sifanyi, kweli baada ya siku kadhaa dully akiambiwa kuhusu video akawa anamjibu kunya tid, tid alichokifanya ani kwenda studio tena akafuta verse ya dully akaweka verse yake nyingine kwahiyo nyimbo hiyo confidence sasa hivi ipo sauti ya tid na joh makini tuu dully kafutwa
Uongo huu umeletwa kwa msaada wa watu wa Marekani.
 
44932fdbd610488a26ead0a2a7569828.jpg
 
TID naye malalamiko kwa wasanii wenzake daily hayaishi... dully naye apunguze tabia zake za kike kwanza kafunikwa mbaya kwenye hiyo ngoma ya confidence
 
arusha imewakosea nini hawa watoto wa mama
Dully wakawaida kuna siku nilikuwa Na wana Pin Point club.DJ kamtambulisha duly alikuwa amekaa kwenye kochi anakunywa na marafiki zake.Siunajuaa machali wa ARA hawa kumake some noise.Sipati picha angeluwa Spack Dawg katambulishwa.Chuga ukijifanya mjuaji watu wanakuvungia.
 
TID naye malalamiko kwa wasanii wenzake daily hayaishi... dully naye apunguze tabia zake za kike kwanza kafunikwa mbaya kwenye hiyo ngoma ya confidence
Tid ameshafuta verse na sauti yote ya dully kwenye ule wimbo confidence, kama unataka kuusikia ni check whatsapp kwa namba hii 0787535430 nikutumie
 
Back
Top Bottom